FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,013
- 40,681
Kuna kama mara mbili hivi nilikuwa naandika tjread huku nina usingizi sana. Sasa nikija kulala kuamka asubuhi husa nakuwa siamini kama mimi ndio nimeandika, maana nakuwa nimeandika point balaa....!