Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,664
- 22,256
Tangu rais alipopiga marufuku vyama vya upinzani CCM imekua ikifanya mikutano kinyume na katiba kwa kigezo cha kijimilikisha nchi!
Chini ya mfumo wa vyama vingi zipo sheria zinazoelekeza jinsi mikutano ya vyama vyote vya siasa vinavyotakiwa kufanya mikutano na si kuandaa taratibu ambayo ni hisani kinyume na matakwa ya katiba.
Vyama vya siasa vinatakiwa visiingie kwenye mtego wa kupewa hisani ambayo kisheria haina nguvu badala yake wasimame kwenye matakwa ya katiba ambayo yapo na yanasimamia vyama vyote badala ya vyama vya upinzani kuundiwa kanuni!
Chini ya mfumo wa vyama vingi zipo sheria zinazoelekeza jinsi mikutano ya vyama vyote vya siasa vinavyotakiwa kufanya mikutano na si kuandaa taratibu ambayo ni hisani kinyume na matakwa ya katiba.
Vyama vya siasa vinatakiwa visiingie kwenye mtego wa kupewa hisani ambayo kisheria haina nguvu badala yake wasimame kwenye matakwa ya katiba ambayo yapo na yanasimamia vyama vyote badala ya vyama vya upinzani kuundiwa kanuni!