Uchaguzi 2020 Kuamini kwamba Lissu alisafiri angani kutumia helikopta bila kibali cha TCAA ni kujidanganya sana!

Titicomb

JF-Expert Member
Jan 27, 2012
11,321
17,817
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
 
Kesho tunaenda kupiga kura za kimbunga kumchagua Tundu Lissu. Najua wapo vijana wengi watapiga kura kea mara ya kwanza na wengi wao hawana ajira na wamepoteza matumaini.

Wale waliosoma kwa mikopo wanakatwa makato makubwa na wanashindwa kusonga mbele kimaisha. Ndugu zetu watumishi wa umma wana machungu sana nao wamesema sasa baasi.
 
..what if rubani na wenye helikopta walikuwa tayari kubeba mzigo wa lawama na gharama za kuvunja sheria?

..hapa inabidi tumpate mtu wa tatu ambaye hana maslahi na tcaa na Tundu Lissu aeleze kilichotokea.

..kitu cha msingi ni Tundu Lissu alifika kwenye mkutano na akafunga kampeni zetu.
 
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
Mkuu unaambiwa huko msoma kuna mwenyekiti kauwa watu wawili na bado yuko mtaani raha mstarehe. Huko iramba kwa mwighuru kuna MTU katekwa na kuumizwa vibaya na mwigulu hakuna hatua zozote juu yake. Visa ni vingi. Kama taifa tujitafakari.

Sishabikii ya chadema maana wanawajibu wa kutii sheria. ila nasema kama taifa tunapoteza mwelekeo kiujumla .
 
Vipi kile kimbunga cha Nachingwea ambacho kilikuwa kinaonekana kwenye macho ya mchawi CCM tu na dola lake tu, kiliishaje?
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
 
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
Kwahiyo ukweli wako ni kwamba ameruka kwa ungo wa mama yako au wewe ndio ulimpa kibali cha kuruka? Kwanini mumkwamishe mtu kufanya shughuli zake.
 
Mkuu unaambiwa huko msoma kuna mwenyekiti kauwa watu wawili na bado yuko mtaani raha mstarehe. Huko iramba kwa mwighuru kuna MTU katekwa na kuumizwa vibaya na mwigulu hakuna hatua zozote juu yake. Visa ni vingi. Kama taifa tujitafakari. Sishabikii ya chadema maana wanawajibu wa kutii sheria. ila nasema kama taifa tunapoteza mwelekeo kiujumla .
Hao wa musoma n kweli n wote n majiran wa dem wangu ali n alert mchana
 
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
Achana na Lissu, amekubuhu kwenye uongo. Hakuna Rubani anaweza kudiriki kupaa angani bila kibali cha mamlaka husika. Hajui ndege zikiwa angani zinapewa control kutokea chini. Siyo suala tu la kibali bali pia kuendeshwa. Ni mwongo sana Lissu
 
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
Mbona unatufokea?
 
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu
Yeah right.... kama ilivyo rahisi/vigumu kuamini alipigwa risasi 16 na bado akasavaivu!

God sent Tundu Lissu.
 
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.

Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.

Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.

Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.

Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.

Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?

CC: joka kuu

1. Mengine yote hayo hayana maana wala unuhimu kwa sasa..

2. Mimi sijakuelewa nini ulichoona cha ajabu. Je, huamini kuwa TCAA wanaweza kufanya uhuni dhidi ya Tundu Lissu kwa maagizo ya watawala?

3. Kama huamini, basi wewe una tatizo na hujui nini kinendelea sasa katika hii iitwayo "Tanzania ya Magufuli..!"

4. Kama watu wanathubutu kuzims huduma ya Internet nchi nzima na kumuumiza kila mtu, watashindwaje kufanya ujinga huu?

5. Wewe si unafahamu na kuelewa kabisa kuwa, uhuni kama huu ulifanyika na TCAA hawahawa kwa Tundu Lissu huyu huyu na Chopa hii hii Mtwara tena rubani akiwa juu angani??

6. Wewe si unaelewa kabisa kuwa uhuni kama huu huu ulifanyika DSM mwanzoni kabisa na kutibua ratiba nzima ya kampeni za Lissu?

7. Nani hajui kuwa uhuni kama huu ulifanyika Bunda kwa mamlaka za serikali kutumia strategy hii hii ya kijinga kumzuia mtu huyu kutumia kivuko cha Bunda kuingia Ukerewe ili afanye mikutano ya kampeni? Unadhani ni coincidence? Hapana, siyo. Ni mpango maalumu wa makasudi..!!

8. Vivyo hivyo leo pale KIA. TCAA wametumika tu. Lengo ilikuwa ashindwe kufika DSM kwa wakati ama ashindwe kabisa kufika ili kuhutubia maelfu ya watu waliokuwa wanamsubiri wahitimishe naye kampeni..

LAKINI;

Hakuna jaribu lolote linaloweza kumpata mtu yeyote mwenye haki wa Mungu - Yehova ambalo halina mlango wa kutokea..

Thank God, kila hujuma iliyofanyika haikumzuia Tundu Lissu kufika alikokusudia kufika..

Narudia tena kusema, hayo mengine hayana maana. Kwa sababu, kama mlango umefungwa na wewe unataka kufika nje lakini huwezi, lakini kuna ukuta wa kurukika na ukatoka nje, bora ufanye hivyo..

Tundu Lissu kafanya vile. Hayo mengine ni yako, kaa nayo wewe yanaweza (labda) kukusaidia baadae..
 
Back
Top Bottom