nchonga aliyebaki
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 573
- 823
Nina mdogo wangu amepata mchumba kutoka uhayani yaan huko, Bukoba,
Sasa katika mambo aliyoorodheshewa kuambatanishwa kwenye mahali wamesema haya
1. Ng'ombe mmoja wakaandika (Nkoromoijo) sikuelewa,
2.Shilingi 800,000 kwa ajili ya baba mzazi
3. Wakaandika 500,000 kwa ajili ya mama mzazi
4. Wakaandika 300,000 kwa baba mdogo na mashangazi,
5. Mbuzi kwa ajili ya babu-Beberu
6.Mbuzi kwa ajili ya baba mtoto-Beberu
7.Mbuzi kwa ajili ya Ma baba mdogo- Beberu
8. Mwishoni kwa msisitizo wakasema (entama ekwela) yaan kondoo mweupe na ni muhimu kwenda,
Hii imetuchanganya sana akili,
Huyu kondoo ni kwa ajili ya nini?
Wahaya naomba mnipe uzoefu wa huko kama hakuna masuala ya kutambikia hapo
Sasa katika mambo aliyoorodheshewa kuambatanishwa kwenye mahali wamesema haya
1. Ng'ombe mmoja wakaandika (Nkoromoijo) sikuelewa,
2.Shilingi 800,000 kwa ajili ya baba mzazi
3. Wakaandika 500,000 kwa ajili ya mama mzazi
4. Wakaandika 300,000 kwa baba mdogo na mashangazi,
5. Mbuzi kwa ajili ya babu-Beberu
6.Mbuzi kwa ajili ya baba mtoto-Beberu
7.Mbuzi kwa ajili ya Ma baba mdogo- Beberu
8. Mwishoni kwa msisitizo wakasema (entama ekwela) yaan kondoo mweupe na ni muhimu kwenda,
Hii imetuchanganya sana akili,
Huyu kondoo ni kwa ajili ya nini?
Wahaya naomba mnipe uzoefu wa huko kama hakuna masuala ya kutambikia hapo