jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Kuhisiwa pekee kwamba yeye na familia yake si raia tena wa Tanzania kwa hakika si jambo la kupuuzwa na kwanza na yeye Tundu na pia vyombo vya Dola.
Tundu Lissu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu Lissu kama ni kweli si Mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.
Tundu Lissu anapaswa mara moja alitolee ufafanuzi suala hilo na tena kwa ushahidi.
Pili vyombo vya Dola vimchunguze Tundu Lissu kama ni kweli si Mtanzania tena ili mara moja hatua stahiki zichukuliwe.