polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,359
- 5,808
Kizuri ambacho naweza sema ni kwamba hayo yote anayatamka lakini anasisitiza endapo tu haki haita tendeka , mimi binafsi sion tatizo ilimradi tu haki iwepo nadhan haki ikiwepo kutakuwa na amani ingawa nauhakika hata haki isipo tendeka lissu hana cha kufanya maana jeuri hiyo hana.Mbelgiji amekuja kuhakikisha amani yetu inaondoka yaani yeye kila akisimama jukwaani hana kauli za amani ni Shari tu,
Mara ooh patachimbika,
Kitaeleweka,
Tutaingia barabarani,
Tutawapeleka ICC.
Huyu mtu ana matatizo sio bure.