Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
Wapendwa kuna mambo mengi yanaumiza vichwa. Mlio karibu na Wizara ya Elimu hebu nidokezeni: hivi ajira kwa WAALIMU wa Diploma na Grade "A" waliofanya mtihani may mwaka huu na matokeo kutoka mwezi AUGUST ni kwanini hawajapewa POST zao hadi leo? au shule za Tanzania WALIMU wametosha? au ndo bajeti ya MISHAHARA YAO ilipelekwa IGUNGA?