Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ni jambazi mwenziwe anayejaribu kuzika kichwa ardhini ili asionekane huku skonzi ameziacha hewani!!Kama Sabaya hakupora hela za wafanyabiashara unadhani pongezi alizopata zilitokana na nini ? Halafu video zote za uvamizi na zingine zilizorekodiwa kwenye CCTV camera za mahoteli kadhaa Sabaya mwenyewe mbona hajawahi kuzikana , zaidi amedai alitumwa na Magufuli kufanya aliyoyafanya .
Wewe ni nani hadi upinge ?