Baba Heri
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,503
- 2,222
Acha kudanganya ummaFally,amepata kila kitu kwenye muziki wa Congo,kinacho msumbua ni kitu kimoja tu hakupitia zile group zinazohesabika kuwa ndio group mama wa muziki wa Congo,Tp ok jazz,Zaiko langa langa,Viva la muzica,Wenge muzica bc bg,baba yake mwenyewe Mopao kapitia huko ndio maana anaheshimika mpaka leo,jina la (Olomide) kapewa na mzee Fulla ngenge (Papa Wemba ) akimaanisha kijana mwenye kipaji