shkamoo bibi,anajua gharama za English Medium na tunataka kula bata na kikokotoo chetu.
Sina ruhusa ya kuongelea hilo, muulize mkiwa mnaangalia mpira.shkamoo bibi,
Kweli skul fiz za inglish midiam zimewanyoosha hawa wazee wetu.
Ila naskia eti siku hizi babu ameacha kula ugoro?
Maendeleo hayana chama
Sawa bibi ila mimi bado siamini kama kweli babu amekua kamanda yaani anavaa gwanda kabisa eti kisa skul fiz, kwa hio hataki kuunga mkono juhudi za mkuu wa kaya alipowaomba mfyatuane kweri kweri.Sina ruhusa ya kuongelea hilo, muulize mkiwa mnaangalia mpira.
Uzuri wa gwanda ni siku za hatari tuSawa bibi ila mimi bado siamini kama kweli babu amekua kamanda yaani anavaa gwanda kabisa eti kisa skul fiz, kwa hio hataki kuunga mkono juhudi za mkuu wa kaya alipowaomba mfyatuane kweri kweri.
Maendeleo hayana chama
aaaahhhh baaaabuuu kama namuona vile amevaa koti na jua lote hili jinsi anavyopendeza, ila mi sinaimani na babu yangu hata kidogo.Uzuri wa gwanda ni siku za hatari tu
Hali sio nzuri baada ya kuadimika kwa condom hapa nchini.
Yote hii ni sababu ya misaada kukatishwa.
Raia mnapaswa mjiongeze msifanye ngono kwa kipindi fulani mpaka misaada itakapoanza kuja tena.
Sasa ndugu zangu mchague mawili kifo cha ukimwi au kuvumilia ukame kwa muda fulani.
Pia baadhi ya dawa zimeadimika hapa nchini so mjiweke salama "Mjikinge" dhidi ya magonjwa hasa malaria kwa watoto wadogo na wote pamoja na magonjwa mengine ya kuambukiza.
Mtaarifu na mwenzio ajipange.
NB: Ukimwi upo... ukimwi unaua, nimekazia ukimwi kwa sababu ngono inaongoza kupendwa Tanzania na duniani.
Usijikute mjuaj kama uliolewa ukiwa bikra, pipe ngap zimepita kwako kabla ya kuolewa???Mnaozini hamna Mungu??? Dini zote na imani zote zinakataa zinaa....
Kwa mafundisho ya dini yangu "Dhambi zote ni sawa" sasa wewe danganya mie nikazini halafu tukutane siku hiyo!..Itakuwa hamna Mungu mnaobet
nimecheka sijui kwa nini
Kwahiyo unasema condom haizuii Ukimwi??condom kwa kuzuiya mimba ila si kwa hilo jingine la kuaminishwa. Mtoa mada unaelewa mana ya UKIMWI? au sabubu uliusoma shule na kuiskia kwenye media ndo basi?
Wengine hatuna diniMnaozini hamna Mungu??? Dini zote na imani zote zinakataa zinaa....