rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,167
- 16,423
Nipo miss Kwantwe
Warumi 6Dini zinahusiana vipi na utamu !?
Yaani nifuge mi genye kisa dini imesema ...!? Sasa itanisaidia vipi kutoa hii migenye mwilini " pindi nitakapoamua kuacha hiyo zinaa !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mama parokoWarumi 6
5Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye. 6Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe, tusiwe tena watumwa wa dhambi. 7Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha sio kila mtu ni mfuasi wa hayo madude aise.. sisi wengine kwetu it's just a conspiracy theoryWarumi 6
5Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye. 6Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe, tusiwe tena watumwa wa dhambi. 7Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app
I know, nimekupa hii kwa sababu umeuliza dini unahusika vipi kwenye nye.geHaha sio kila mtu ni mfuasi wa hayo madude aise.. sisi wengine kwetu it's just a conspiracy theory
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunazitumia kama njia ya uzazi wa mpango kwenye ndoa zetu.Warumi 6
5Maana, kama sisi tumeungana naye katika kufa kama yeye, vivyo hivyo tutaungana naye kwa kufufuliwa kutoka wafu kama yeye. 6Tunajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja na Kristo, ili hali ya dhambi iharibiwe, tusiwe tena watumwa wa dhambi. 7Kwa maana, mtu aliyekufa, amenasuliwa kutoka katika nguvu ya dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kwa sisi ambao hatuamini kwenye hizo imani bila shaka hayo maandiko haya tuhusuI know, nimekupa hii kwa sababu umeuliza dini unahusika vipi kwenye nye.ge
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua bibi lakini umeona niliyekuwa namjibu ameandika nini?Tunazitumia kama njia ya uzazi wa mpango kwenye ndoa zetu.
Of course, kwa wewe ambae huna Mungu endelea kuzini tu uko huruKwa hiyo kwa sisi ambao hatuamini kwenye hizo imani bila shaka hayo maandiko haya tuhusu
Anyway nimekuelewa " khantwe
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU ni mwemaNB: Ukimwi upo... ukimwi unaua, nimekazia ukimwi kwa sababu ngono inaongoza kupendwa Tanzania na duniani.
Kwamba wazazi wangu ndio wanapaswa kuwa mbadala wangu wakufikiri hapa kabisa "Maswali mengine majibu huwa wanayo wazazi wetu. Kawaulize wazazi wako mpendwa kama kuzini Mungu hapendi ufanyaje