jechalism
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 378
- 408
Hili limenigusa kwakweliHiyo ipo sana unakuta mtu alishakuacha mda ila hataki kukuweka wazi ili yeye asiwe sababu ya kuachana kwenu kwahiyo anangoja ile point mwenzie atakapoitoa hiyo sababu ili aonekane yeye hakuamua iwe hivyo. Inakera mtu hakupendi, hakuhitaji tena lakini bado anakung’ang’ania haachi mawasiliano nawewe sijui target huwa ni nini? Kwa sababu haiwezekani umpendi/umhitaji mtu lakini bado iwe ngumu kwako kuacha mawasiliano nae, ni nini hasa huwa kinalengwa kwenye kuendeleza mawasiliano?