Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Linapokuja swala la kuachwa au mtu wa kukuacha kuna staili mbili
1. Kuna mtu anakuacha kimya kimya bila kukwambia sikutaki
Watu wa aina hii yeye anakuoneshea vitendo visa vitakavyo kufanya wewe ugundue huyu mtu hanitaki tena nijiongeze
2. Kuna mwingine anakuacha kwa maneno
Watu wa aina hii yeye anakutamkia live hakutaki hahitaji kuwa na wewe kila mtu Achukue hamsini zake
Mimi upande wangu kuachwa kimya kimya ndo naumia zaidi kwani hujui kama unapendwa au laa unajikuta upo ndani uhusiano karibu miaka 3 kumbe mwenzio alishakuacha miaka 3 iliopita
1. Kuna mtu anakuacha kimya kimya bila kukwambia sikutaki
Watu wa aina hii yeye anakuoneshea vitendo visa vitakavyo kufanya wewe ugundue huyu mtu hanitaki tena nijiongeze
2. Kuna mwingine anakuacha kwa maneno
Watu wa aina hii yeye anakutamkia live hakutaki hahitaji kuwa na wewe kila mtu Achukue hamsini zake
Mimi upande wangu kuachwa kimya kimya ndo naumia zaidi kwani hujui kama unapendwa au laa unajikuta upo ndani uhusiano karibu miaka 3 kumbe mwenzio alishakuacha miaka 3 iliopita