Kapilipoint
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 381
- 343
Wanasiasa kuweni na akiba ya maneno.Kumbukeni Kamanda Lowassa amewatangulia kuijua Siasa, Katiba ya nchi anaijua, Ikulu amekaa kwani Waziri Mkuu Ana ofisi pale hakukurupuka kusema atamwachia Babu Seya aliisoma katiba.