Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,997
- 103,382
Hutomsikia tena anaongea Jambo la katiba mpya
Hata asipoliongelea tutaliongelea sisi maana sio Mbowe anatulazimisha kudai katiba mpya. Kama unadhani tunamsubiri Mbowe ili kudai katiba mpya basi umepotea. Tena anatakiwa akae kimya ili tuidai, kuliko yeye aendelee kuidai na kuishia kubambikiwa kesi.