Wapo watu wanasema vyama vya upinzani viwe vinaachiana kwa kupima upepo chama kipi kina nguvu katika kila eneo la uchaguzi ili wakishatambua wakiunge` mkono chama kile. Mimi sikubaliani na sitakaa niunge mkono dhana hii kwa sababu voters want a variety of political tastes, they dont vote solely on personlity they put across a combination of many factors. Watu wanatakiwa kuwapanga wapiga kura katika makundi yafuatayo;
Ushiriki wa vyama vingi katika mchakato wa uchaguzi ni nguvu badala ya udhaifu tulione hivyo na tukubali liende hivyo
- Wale ambao piga ua wanapigia vyama, kwa kiwango kikubwa kundi hili lisipoona ushiriki wa chama chao linaweza kuto kwenda kupiga kura
- Washabiki wa masuala ya kisera hawa wengi hupigia kura mtu kutokana na anavyowagusa kwa sera na kutambua matatizo yao
- Kundi la tatu ni wale wa bendera hufuata upepo hawa hupigia mtu yeyote wanaeona ana mvuto kwa wat waliowengi na hawa ndio kundi ambalo ni rahisi kulibadilisha
- kundi lingine ni lile la watu wenye hasira na uongozi wa chama chao hawa hupigia chama kingine kwa kukomesha
Ushiriki wa vyama vingi katika mchakato wa uchaguzi ni nguvu badala ya udhaifu tulione hivyo na tukubali liende hivyo