Kuacha Uchina na kurukia Uhindini

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Nina wasiwasi China imeshtuka na baada ya hapo Serikali imedandia uhindini ,ahadi kedekede za kufunga bajaji na bajia ,kuna nchi imepiga marufuku bajaji hapa inaonekana kuzivamia kama kutengeneza na kuendeleza viwanda kwa nini isiendelezwe ile karakana inayotengeneza magari Nyumbu. Tunamuita mhindi aje atuletee maTATA.

Wanaotengeneza Nyumbu wangeboreshwa na aidha kupelekwa kusomea zaidi ili warudi na miundo mipya ila ya kuleta mambo kutoka uhindini itakuwa tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele ,ni viwanda vingapi vilikuwepo vikataifishwa mwishowe vilifikia wapi ? Vilikufa au sio.

Zaidi niliyoyaona wahindi wamekuja kutukopesha hela na kutuzidishia deni la Taifa ! Ndani ya mwaka mmoja wa serikali hii tumeanza kukopa mamilioni ya Dola ,haya ikifika miaka minne itakuwaje ,msiniambie mtaanza kulilipa deni !
 
Nina wasiwasi China imeshtuka na baada ya hapo Serikali imedandia uhindini ,ahadi kedekede za kufunga bajaji na bajia ,kuna nchi imepiga marufuku bajaji hapa inaonekana kuzivamia kama kutengeneza na kuendeleza viwanda kwa nini isiendelezwe ile karakana inayotengeneza magari Nyumbu. Tunamuita mhindi aje atuletee maTATA.

Wanaotengeneza Nyumbu wangeboreshwa na aidha kupelekwa kusomea zaidi ili warudi na miundo mipya ila ya kuleta mambo kutoka uhindini itakuwa tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele ,ni viwanda vingapi vilikuwepo vikataifishwa mwishowe vilifikia wapi ? Vilikufa au sio.

Zaidi niliyoyaona wahindi wamekuja kutukopesha hela na kutuzidishia deni la Taifa ! Ndani ya mwaka mmoja wa serikali hii tumeanza kukopa mamilioni ya Dola ,haya ikifika miaka minne itakuwaje ,msiniambie mtaanza kulilipa deni !
kugunduliwa kwa gesi na sasa helium, kunapelekea Tanzania kuuaga kabisa umasikini, tunaelekea kuwa ni nchi ya kipato cha kati, hivyo madeni yote hayo ya miaka 50, tutayalipa ndani ya miaka 5 tuu ya petrodollars na gas-dollars!.

Tanzania ndio mchimbaji pekee wa Tanzanite dunia nzima, ila kwenye soko la dunia, India ndio the biggest exporter wa Tanzanite!, kinachokosekana Tanzania ni uchorongaji tuu, tunapoelekea kwenye Tanzania ya viwanda, lazima kwanza tujikubali hatuna the capacity, the ability and the know how!, hivyo lazima tushirikiane na wenye uwezo, (ability), wenye jinsi ya mitaji, (Capacity) na ujuzi (know how), kiwanda cha kuchoronga Tanzanite kijengwe Mererani, iwe hakuna tena ku export raw Tanzania, hivyo Tanzania ndio awe muuzaji mkuu na pekee wa Tanzanite kwenye soko la dunia!.

Tutafanya vivyo hivyo kwa korosho, pamba, alizeti etc, badala ya kuuza mazao, tuuze finished products!.

Pasco
 
kugunduliwa kwa gesi na sasa helium, kunapelekea Tanzania kuuaga kabisa umasikini, tunaelekea kuwa ni nchi ya kipato cha kati, hivyo madeni yote hayo ya miaka 50, tutayalipa ndani ya miaka 5 tuu ya petrodollars na gas-dollars!.

Tanzania ndio mchimbaji pekee wa Tanzanite dunia nzima, ila kwenye soko la dunia, India ndio the biggest exporter wa Tanzanite!, kinachokosekana Tanzania ni uchorongaji tuu, tunapoelekea kwenye Tanzania ya viwanda, lazima kwanza tujikubali hatuna the capacity, the ability and the know how!, hivyo lazima tushirikiane na wenye uwezo, (ability), wenye jinsi ya mitaji, (Capacity) na ujuzi (know how), kiwanda cha kuchoronga Tanzanite kijengwe Mererani, iwe hakuna tena ku export raw Tanzania, hivyo Tanzania ndio awe muuzaji mkuu na pekee wa Tanzanite kwenye soko la dunia!.

Tutafanya vivyo hivyo kwa korosho, pamba, alizeti etc, badala ya kuuza mazao, tuuze finished products!.

Pasco
Mkuu unaisemea serikali hii ya Magufuli au ni maoni yako ambayo unahisi akipita atayasoma na kuyafanyia kazi?
Well.
 
kugunduliwa kwa gesi na sasa helium, kunapelekea Tanzania kuuaga kabisa umasikini, tunaelekea kuwa ni nchi ya kipato cha kati, hivyo madeni yote hayo ya miaka 50, tutayalipa ndani ya miaka 5 tuu ya petrodollars na gas-dollars!.

Tanzania ndio mchimbaji pekee wa Tanzanite dunia nzima, ila kwenye soko la dunia, India ndio the biggest exporter wa Tanzanite!, kinachokosekana Tanzania ni uchorongaji tuu, tunapoelekea kwenye Tanzania ya viwanda, lazima kwanza tujikubali hatuna the capacity, the ability and the know how!, hivyo lazima tushirikiane na wenye uwezo, (ability), wenye jinsi ya mitaji, (Capacity) na ujuzi (know how), kiwanda cha kuchoronga Tanzanite kijengwe Mererani, iwe hakuna tena ku export raw Tanzania, hivyo Tanzania ndio awe muuzaji mkuu na pekee wa Tanzanite kwenye soko la dunia!.

Tutafanya vivyo hivyo kwa korosho, pamba, alizeti etc, badala ya kuuza mazao, tuuze finished products!.

Pasco
Mkuu kwa mitaji ya viwanda vya juice.Nasikia hatuna uwezo huo yaani matajiri wetu ni madalali.Huoni ni mwendo wa kuwapa wawekezaji kutoka nje na nchi kupata mrahaba wa 4%.
 
Gut,hapo umewachoma msumari na huo ndio ukweli hayo ya gesi,mafuta,helium,uranium hayakuanza leo wala jana mbona yalikuwepo zamani tu,longolongo na tararira za CCM ni zilezile maisha bora kwa kila Mtanzania wakati tumesahau kuwa walioko madarakani ni wale wa chukua chako mapema.

Kwanza uelewe huko walikoendelea mbinyo wa demokrasia ni finyu sana na haki na sheria zinafuatwa kikamilifu ,hali za chaguzi zao zipo wazi kiasi cha mlalamikaji kukosa ushahidi wa kutosha ,hapa kwetu je si bado tunaendelea na ulubuva na ujecha !

Jeshi la polisi na vyombo vya usalama vya dola vinashindwa kusimamia haki kwa kuwa vimetekwa na chama tawala,utategemea maendeleo kuletwa kwa mfumo huo wa utawala,tusidanganyane na kupeana matumaini,mazoezi haya ya maneno ni kuzidi kutufanya waTz kuwa wadanganyika.

Maendeleo hayawezi kutufikia kwa mfumo huu ,tutakayovuna pamoja na utajiri wote tuliojaaliwa ni maendejana na maendejuzi.

Kama tunahitaji MAENDELEO basi waliomadarakani kama wana njia na nia njema basi ni kukubali kufuata sheria na isiwe chama tawala kina haki ya kufanya watakalo na kuzipindisha sheria kwa kutumia mwega wa vyombo vya dola.

Uhuru wa vyama vya siasa upo wazi,sheria za kufanya mikutano zipo wazi na hazijabadilishwa, msajili yupo amekaa kimya akiwacha sheria ziwe zinatoa uelekezi kutoka kwa watawala ambao ni makada wa CCM ,nini faida ya kuwa na msajili ?

Amani haiwezi kuwepo na ikawa ya kudumu ikiwa dhulma inaonekana waziwazi na haswa ilivyokuwa sasa ni wakati wa utanda wazi In a Second habari zinaenea nchi nzima.

Kuna watu hapa nchini wanaona CCM hii ya Magufuli itawaletea maendeleo hao huwafananisha na yule fisi anaetegemea mkono utaanguka,wamesahau kuwa punda ni yuleyule.

Hawa CCM hawawezi kukamatana na wanaokamatwa ni wale walio kimya na wapole ,si mmesikia hivi majuzi wakisema tutalindana au nitawalinda wala msiogope na kuwa na hofu ,anaelindwa ni nani na kwa nini akalindwa ?
 
kugunduliwa kwa gesi na sasa helium, kunapelekea Tanzania kuuaga kabisa umasikini, tunaelekea kuwa ni nchi ya kipato cha kati, hivyo madeni yote hayo ya miaka 50, tutayalipa ndani ya miaka 5 tuu ya petrodollars na gas-dollars!.

Tanzania ndio mchimbaji pekee wa Tanzanite dunia nzima, ila kwenye soko la dunia, India ndio the biggest exporter wa Tanzanite!, kinachokosekana Tanzania ni uchorongaji tuu, tunapoelekea kwenye Tanzania ya viwanda, lazima kwanza tujikubali hatuna the capacity, the ability and the know how!, hivyo lazima tushirikiane na wenye uwezo, (ability), wenye jinsi ya mitaji, (Capacity) na ujuzi (know how), kiwanda cha kuchoronga Tanzanite kijengwe Mererani, iwe hakuna tena ku export raw Tanzania, hivyo Tanzania ndio awe muuzaji mkuu na pekee wa Tanzanite kwenye soko la dunia!.

Tutafanya vivyo hivyo kwa korosho, pamba, alizeti etc, badala ya kuuza mazao, tuuze finished products!.

Pasco
Unacho ongea ni pumba kabisa. Tuna madini chungu nzima ambayo kama tungekuwa na mikataba mizuri hii nchi ndyo ingekuwa inatoa mikopo badala ya kupokea mikopo. Sasa hata wavumbue kinyesi cha shetani kwa huu ujinga tulionao tutaendelea kukopwa na kusamehewa madeni siku zote uku tunanyonywa kwenye maliasil zetu.

Wanaotunyonya wanajua kutumia ile Formula ya Carrot with a stick to ride a donky.
 
kugunduliwa kwa gesi na sasa helium, kunapelekea Tanzania kuuaga kabisa umasikini, tunaelekea kuwa ni nchi ya kipato cha kati, hivyo madeni yote hayo ya miaka 50, tutayalipa ndani ya miaka 5 tuu ya petrodollars na gas-dollars!.

Tanzania ndio mchimbaji pekee wa Tanzanite dunia nzima, ila kwenye soko la dunia, India ndio the biggest exporter wa Tanzanite!, kinachokosekana Tanzania ni uchorongaji tuu, tunapoelekea kwenye Tanzania ya viwanda, lazima kwanza tujikubali hatuna the capacity, the ability and the know how!, hivyo lazima tushirikiane na wenye uwezo, (ability), wenye jinsi ya mitaji, (Capacity) na ujuzi (know how), kiwanda cha kuchoronga Tanzanite kijengwe Mererani, iwe hakuna tena ku export raw Tanzania, hivyo Tanzania ndio awe muuzaji mkuu na pekee wa Tanzanite kwenye soko la dunia!.

Tutafanya vivyo hivyo kwa korosho, pamba, alizeti etc, badala ya kuuza mazao, tuuze finished products!.

Pasco
Nini kimekufanya ujipe moyo kwamba yaliyoshindikana kwa miaka 50 yanawezekana leo au ndani ya miaka 5 tuu?
Nini kimebadilika? Au nini kimebadilishwa?
 
kugunduliwa kwa gesi na sasa helium, kunapelekea Tanzania kuuaga kabisa umasikini, tunaelekea kuwa ni nchi ya kipato cha kati, hivyo madeni yote hayo ya miaka 50, tutayalipa ndani ya miaka 5 tuu ya petrodollars na gas-dollars!.

Tanzania ndio mchimbaji pekee wa Tanzanite dunia nzima, ila kwenye soko la dunia, India ndio the biggest exporter wa Tanzanite!, kinachokosekana Tanzania ni uchorongaji tuu, tunapoelekea kwenye Tanzania ya viwanda, lazima kwanza tujikubali hatuna the capacity, the ability and the know how!, hivyo lazima tushirikiane na wenye uwezo, (ability), wenye jinsi ya mitaji, (Capacity) na ujuzi (know how), kiwanda cha kuchoronga Tanzanite kijengwe Mererani, iwe hakuna tena ku export raw Tanzania, hivyo Tanzania ndio awe muuzaji mkuu na pekee wa Tanzanite kwenye soko la dunia!.

Tutafanya vivyo hivyo kwa korosho, pamba, alizeti etc, badala ya kuuza mazao, tuuze finished products!.

Pasco
ikiwa miaka 55 hamukuweza mutaweza leo labda kunywa gongo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom