Kuacha, Kuachana, Kuachwa, Kuachishwa

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Kuacha: Kunauma kidogo
Kuachana: Kunauma kiasi
Kuachwa: Kunauma kupita kiasi
Kuachishwa: Kunaumwa sana

Ushauri: Acha kabla hujaachwa!
 
Why talk of breaking up badala ya building up?

Mtazamo wangu wa mahusiano mengi yanayovunjika nowadays ni kutokana na mawazo kama yako ya, 'naingia kwenye huu uhusiano ila the first doubt ntakayopata nasepa!'

We should practice open talk..communication is the key!!! Mahusiano mengi yangekuwa yameokolewa...
 
Neno hilo Mkuu!!

Why talk of breaking up badala ya building up?

Mtazamo wangu wa mahusiano mengi yanayovunjika nowadays ni kutokana na mawazo kama yako ya, 'naingia kwenye huu uhusiano ila the first doubt ntakayopata nasepa!'

We should practice open talk..communication is the key!!! Mahusiano mengi yangekuwa yameokolewa...
 
Kuacha: Kunauma kidogo
Kuachana: Kunauma kiasi
Kuachwa: Kunauma kupita kiasi
Kuachishwa: Kunaumwa sana

Ushauri: Acha kabla hujaachwa!

Kama ni hivyo, bora usiingie kwenye mahusiano kabisa ili usije kuachwa au hata kuacha
 
Kuacha: Kunauma kidogo
Kuachana: Kunauma kiasi
Kuachwa: Kunauma kupita kiasi
Kuachishwa: Kunaumwa sana

Ushauri: Acha kabla hujaachwa!

hahahaa damn strait!!! he who has the last laugh has the power. mapenzi ni power struggle btwin a man and a woman. ndio maana unatakiwa ugegede na kumbwaga demu...wewe ndio utakuwa umeshinda the power battle.
 
Why talk of breaking up badala ya building up?

Mtazamo wangu wa mahusiano mengi yanayovunjika nowadays ni kutokana na mawazo kama yako ya, 'naingia kwenye huu uhusiano ila the first doubt ntakayopata nasepa!'

We should practice open talk..communication is the key!!! Mahusiano mengi yangekuwa yameokolewa...

communication is the key to communication breakdown?
 
Uvumilivu katika ndoa umeenda wapi? Ukiacha huyo utaempata hana mapungufu?
::
Tuvumiliane katika mahusiano,kama kila mmoja atakuwa ktk ndoa mguu mmoja ndani mwingine nje basi huo ni uhusiano wa mashaka.
::
Wazee wetu walidumu ktk mahusiano(ndoa) kwa miaka zaidi ya 30 au 50 haikuwa na maana walikuwa perfect match,la! Walichukuliana mapungufu.
::
Sikubaliani na haka ka mchezo kama kupata na kuacha.Unaweza lamba sumu ukaenda nayo kwa mwingine hatimaye ni janga la maisha.
%
 
Na watu smart wanaacha hawaachwi.

Yani unakuta mtu anafanyiwa vituko vya kila aina lakini yumo tu anasubiri hadi atupiwe nguo nje.

Raha sana kuacha hasa kuacha mtu alokuwa anajidai mjanja....unampa makavu live...its over...utasikia eeh unasemaje? Its overrrr. Huku unaangalia reaction usoni. Msisubiri kuachwa mtaja kunywa sumu bure...someni alama za nyakati

Yani atakama mtu alikuwa ana mpango wa kukuacha ukimwahi jua umemmaliza...ataumia forever...yani unakuwa umeshusha pride yake vibaya mmno.

Kuacha: Kunauma kidogo
Kuachana: Kunauma kiasi
Kuachwa: Kunauma kupita kiasi
Kuachishwa: Kunaumwa sana

Ushauri: Acha kabla hujaachwa!
 
utaacha kabla hujaachwa hata kama hakuna sababu muhimu ya kufanya hivyo!? Mapenzi kizungumkuti!!!!



hapa unacheza na saikologia tu unapima maenzi yamesha deteriorate kabisa no way out vituko uonavyo sasas unatingisha kiberiti then unamwaga njiti unachapa lapa kabla hujaacha lol
 
Last edited by a moderator:
Nimependa hapo kwenye bold

hahahaa damn strait!!! he who has the last laugh has the power. mapenzi ni power struggle btwin a man and a woman. ndio maana unatakiwa ugegede na kumbwaga demu...wewe ndio utakuwa umeshinda the power battle.
 
hivi wote tukiacha, nani ataachwa?
Lazima awepo anayeacha na kuachwa.

Mapenzi ya mashindano bora kuachana na mapenzi kabisa.
 
Na watu smart wanaacha hawaachwi.

Yani unakuta mtu anafanyiwa vituko vya kila aina lakini yumo tu anasubiri hadi atupiwe nguo nje.

Raha sana kuacha hasa kuacha mtu alokuwa anajidai mjanja....unampa makavu live...its over...utasikia eeh unasemaje? Its overrrr. Huku unaangalia reaction usoni. Msisubiri kuachwa mtaja kunywa sumu bure...someni alama za nyakati

Yani atakama mtu alikuwa ana mpango wa kukuacha ukimwahi jua umemmaliza...ataumia forever...yani unakuwa umeshusha pride yake vibaya mmno.

kuna wengine tuliachwa mataa haswaa, mmetoka dinner hugs/kisses kibao, mna raha zote, anafika kwake anakucal kwamba amefika salama mnaagana kwa maneno mazito mazito, sikujua kama ndio nilikuwa naagwa moja kwa moja, kuachwa inauma sana sana, niliumia sana, nikitamani kujua nini lilikuwa tatizo mpaka akafikia hatua hiyo ya kuni dump tena kihivyo nilikosa jibu, mwenye jibu kakata mawasiliano na kila aina na mie, baada ya mwaka ananitafuta na kujiliza liza kwamba alikosea sana/hajui kitu gani kilimpata, sijui nini na nini, mxsiii.
 
Kwa nini ufikirie kuachana?

Kwa nini usiseme wewe ndo wakufa na kuzikana?

Hapa hakuna kuachana au kuachwa au kuacha au kuachishwa, ila ni fursa ya kutafuta mtu stahiki.
 
kuna wengine tuliachwa mataa haswaa, mmetoka dinner hugs/kisses kibao, mna raha zote, anafika kwake anakucal kwamba amefika salama mnaagana kwa maneno mazito mazito, sikujua kama ndio nilikuwa naagwa moja kwa moja, kuachwa inauma sana sana, niliumia sana, nikitamani kujua nini lilikuwa tatizo mpaka akafikia hatua hiyo ya kuni dump tena kihivyo nilikosa jibu, mwenye jibu kakata mawasiliano na kila aina na mie, baada ya mwaka ananitafuta na kujiliza liza kwamba alikosea sana/hajui kitu gani kilimpata, sijui nini na nini, mxsiii.

Kazi ya ibilisi ina makosa sana!
 
ukiachwa halafu ukapata replacement wala haiumi. ngoma usipopata replacement.
 
Back
Top Bottom