Kua Muislam Uganda ni raha sana, Thank you Ugandans

Status
Not open for further replies.

msumeno

JF-Expert Member
Aug 3, 2009
2,827
1,729
Assalam aleikum na Eid Mubarak kwenu nyote,

Nisiwachoshe ila nataka niseme kitu ambacho nimekiona kwa hawa ndugu zetu waGanda hasa wasio waislam. Katika life hii nimefika kwingi ila kwa hapa Uganda Alhamdulillah kuwa muislam ni raha. Kuna baadhi ya nchi au sehemu kuvaa Kanzu au Hijab ni shida na unaonekana kama hujaendelea vile lakini si kwa hapa Uganda.

Uganda vazi la Hijab au Kanzu na hata kibalaghashia ni heshima kubwa tena mostly unapewa na wasio waislam. Mara kadhaa nimepita maeneno ya Kampala , Mbarara na vazi hili na mara zote kwa watu tofauti nimeheshimiwa sana na watu wa cadre tofauti kuanzia kwa utingo, boda boda men na hata wa cadre ya juu. kifupi hapa ukiwa muislam basi jina lako utaitwa Hajji kama mtu hakujui jina na ukiwa mwanamke utaitwa Hajjat. Ni kweli waislam sio wengi sana hapa Uganda ukilinganisha na Tanzania ila hadhi na heshima dhidi ya waislam ''TUKASOME"


Asanteni sana wGanda kwa kutupa heshima tunayostahili


Karibu Eid
 
Assalam aleikum na Eid Mubarak kwenu nyote,

Nisiwachoshe ila nataka niseme kitu ambacho nimekiona kwa hawa ndugu zetu waGanda hasa wasio waislam. Katika life hii nimefika kwingi ila kwa hapa Uganda Alhamdulillah kuwa muislam ni raha. Kuna baadhi ya nchi au sehemu kuvaa Kanzu au Hijab ni shida na unaonekana kama hujaendelea vile lakini si kwa hapa Uganda.

Uganda vazi la Hijab au Kanzu na hata kibalaghashia ni heshima kubwa tena mostly unapewa na wasio waislam. Mara kadhaa nimepita maeneno ya Kampala , Mbarara na vazi hili na mara zote kwa watu tofauti nimeheshimiwa sana na watu wa cadre tofauti kuanzia kwa utingo, boda boda men na hata wa cadre ya juu. kifupi hapa ukiwa muislam basi jina lako utaitwa Hajji kama mtu hakujui jina na ukiwa mwanamke utaitwa Hajjat. Ni kweli waislam sio wengi sana hapa Uganda ukilinganisha na Tanzania ila hadhi na heshima dhidi ya waislam ''TUKASOME"


Asanteni sana wGanda kwa kutupa heshima tunayostahili


Karibu Eid
Je na nyie nnawaheshimu wenzenu ukiheshimiwa na wewe heshimu sio kupenda heshima za bure tu na kujiinua kuonekana wewe ni wa dini fulani unastahili kuliko wa dini fulani badilikeni Mungu habagui dini ndugu wala haangalii dini anaangalia moyo wako na matendo yako tu sio dini yako ndo inakuingiza ahera wakati una madhambi debe si ajabu.
 
Hao wameelimika mkuu ndo maana hawana chuki na uislam.Kuna hawa wenzetu huku ambao wana upeo finyu ndo wanauchukia uislam.
 
Hao wameelimika mkuu ndo maana hawana chuki na uislam.Kuna hawa wenzetu huku ambao wana upeo finyu ndo wanauchukia uislam.
Ebu tuweni wakweli jamani ni wapi hapa tanzania mtu anabaguliwa kwa imani yake? Nenda vyuoni, mitaani, kazini nk mahusiano ya watu hayawahi tatizwa na imani, vinginevyo mtoa mada hii binafsi ni mbaguzi yeye mwenyewe.
 
Yawezekana waislamu wa Uganda wanajihemu ndiyo maana wanaheshiwa pia.

Lakini najiuliza,hivi kuitwa Hajji na makondakta au waendesha bodaboda tena pengine sehemu zao za biashara ndiyo kuheshimiwa?

What if wana utamaduni wa kutumia majina hayo kuwaita wavaa kanzu na hijab?
 
Assalam aleikum na Eid Mubarak kwenu nyote,

Nisiwachoshe ila nataka niseme kitu ambacho nimekiona kwa hawa ndugu zetu waGanda hasa wasio waislam. Katika life hii nimefika kwingi ila kwa hapa Uganda Alhamdulillah kuwa muislam ni raha. Kuna baadhi ya nchi au sehemu kuvaa Kanzu au Hijab ni shida na unaonekana kama hujaendelea vile lakini si kwa hapa Uganda.

Uganda vazi la Hijab au Kanzu na hata kibalaghashia ni heshima kubwa tena mostly unapewa na wasio waislam. Mara kadhaa nimepita maeneno ya Kampala , Mbarara na vazi hili na mara zote kwa watu tofauti nimeheshimiwa sana na watu wa cadre tofauti kuanzia kwa utingo, boda boda men na hata wa cadre ya juu. kifupi hapa ukiwa muislam basi jina lako utaitwa Hajji kama mtu hakujui jina na ukiwa mwanamke utaitwa Hajjat. Ni kweli waislam sio wengi sana hapa Uganda ukilinganisha na Tanzania ila hadhi na heshima dhidi ya waislam ''TUKASOME"


Asanteni sana wGanda kwa kutupa heshima tunayostahili


Karibu Eid

Kwa hiyo uislam unaongezeka thamani ukipewa heshima? Ni kweli kwmba uislam ni kudai heshima??
 
Je na nyie nnawaheshimu wenzenu ukiheshimiwa na wewe heshimu sio kupenda heshima za bure tu na kujiinua kuonekana wewe ni wa dini fulani unastahili kuliko wa dini fulani badilikeni Mungu habagui dini ndugu wala haangalii dini anaangalia moyo wako na matendo yako tu sio dini yako ndo inakuingiza ahera wakati una madhambi debe si ajabu.
Hawa watu wanaojiita waisilamu baadhi yao huwa nawashangaa sana wanapolalamika wanabaguliwa na kunyanyaswa kwenye jamii ambazo wao ni minority
Nikijiuliza hivi jamii ambayo wao ni majority huwa wanawa treat vipi wale minority?
Zanzibar wakristu wapo huru kiasi gani na wanaheshiniwa kiasi gani?

hizi nchi za kiislamu kama Misri, Saudia wakristu wana uhuru kiasi gani?
kuna nchi ya Gambia rais wake allitangaza ni ya kiislam, yaani dini nyingine wala imani nyingine hazitambuliwi, leo hii unaona watu wanalia hapa eti uislam unanyanyaswa na unabaguliwa duniani
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom