ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,555
- 3,749
Serikali ya tanzania au? Kama ni ya tanzania ajiandae kuwekwa ndani akiulizia data flani flani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi kuanza sehemu flani. Unataka kupambana na kila mtu wakati hauna uwo uwezo.
Muhimu kutumia nguvu, akili zako, uwezo wako sehemu ambazo unaweza kuwa na greatest Impact.