Ku-zalisha Artificial intelligence product kutokea Tanzania (Africa) ni ngumu sana

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,006
Nimefungua artificial intelligence kampuni, Ila nimekuja gundua kudevelop artificial intelligence product kutokea Africa (Tanzania) ni ngumu sana, Kwa sababu zinahitaj data ili uweze ku-tumia algorithms kutengeneza product, mfano ili utumie deep learning unatakiwa uwe na data nyingi sana ili uweze ku-train neural network model, na makampuni mengi ya Africa hayako tayar kushare data na AI research company. Pili wataalamu; kufanya AI inahitaji ubunifu wa hali ya juu na kutokana na waafrica kuwa wavivu kufikiri imekuwa kikwazo kupata wafanyakaz wabunifu
 
Unafunguaje kampuni na hujui utawapata wapi wafanyakazi?

Kwa nijuavyo Mimi kama una nia dhabiti, ulipaswa kutambua kuwa hizo ni moja ya changamoto so ulipaswa kudraft namna utakavyoruka hivyo viunzi.

Nafikiri unafaham mfumo wa elimu yetu labda kama wewe in mgeni.

AI ni technology ambayo haijashika kasi hata huko first world countries, unategemeaje kwetu sisi ambao hata kutengeneza baiskeli hatuwezi?
 
Nimefungua artificial intelligence kampuni, Ila nimekuja gundua kudevelop artificial intelligence product kutokea Africa (Tanzania) ni ngumu sana, Kwa sababu zinahitaj data ili uweze ku-tumia algorithms kutengeneza product, mfano ili utumie deep learning unatakiwa uwe na data nyingi sana ili uweze ku-train neural network model, na makampuni mengi ya Africa hayako tayar kushare data na AI research company. Pili wataalamu; kufanya AI inahitaji ubunifu wa hali ya juu na kutokana na waafrica kuwa wavivu kufikiri imekuwa kikwazo kupata wafanyakaz wabunifu

Nnachojua ukitaka kufungua kampuni lazima uwe umeplan kila kitu, from fursa ulizoona, jinsi ya kupata wafanyakazi na resources. Sasa kwa mtazamo wangu naona umeruka stage mkuu. Ungeangalia kwanza what you need.

Af kwa A.I mbona naona data zinapatikana kwenye sources nyng tu mtandaoni from marketing data(ya products mbalimbali) hadi zle dictionaries zinazotumika kwenye chatbots. Kama unataka data ambazo bado hazijawa researched, au umenyimwa thn make a research yourself coz ukiongelea A.I ni kama branch tu ya data science ambamo research nayo unaikuta humohumo kwenye somo la data science
 
Kwa project nazozifanya haziitaji market data, Bali healthcare data nyingi (big data) kuanzia 100 gigabyte+
Nnachojua ukitaka kufungua kampuni lazima uwe umeplan kila kitu, from fursa ulizoona, jinsi ya kupata wafanyakazi na resources. Sasa kwa mtazamo wangu naona umeruka stage mkuu. Ungeangalia kwanza what you need.

Af kwa A.I mbona naona data zinapatikana kwenye sources nyng tu mtandaoni from marketing data(ya products mbalimbali) hadi zle dictionaries zinazotumika kwenye chatbots. Kama unataka data ambazo bado hazijawa researched, au umenyimwa thn make a research yourself coz ukiongelea A.I ni kama branch tu ya data science ambamo research nayo unaikuta humohumo kwenye somo la data science
 
Unafunguaje kampuni na hujui utawapata wapi wafanyakazi?

Kwa nijuavyo Mimi kama una nia dhabiti, ulipaswa kutambua kuwa hizo ni moja ya changamoto so ulipaswa kudraft namna utakavyoruka hivyo viunzi.

Nafikiri unafaham mfumo wa elimu yetu labda kama wewe in mgeni.

AI ni technology ambayo haijashika kasi hata huko first world countries, unategemeaje kwetu sisi ambao hata kutengeneza baiskeli hatuwezi?
Ulichoongea ni kweli, Ila tunahitaj watu wanaofanya artificial intelligence kutoka afrika, Kwa sababu matatizo ya afrika yatatatuliwa na waafrika wenyewe,
 
Nnachojua ukitaka kufungua kampuni lazima uwe umeplan kila kitu, from fursa ulizoona, jinsi ya kupata wafanyakazi na resources. Sasa kwa mtazamo wangu naona umeruka stage mkuu. Ungeangalia kwanza what you need.

Af kwa A.I mbona naona data zinapatikana kwenye sources nyng tu mtandaoni from marketing data(ya products mbalimbali) hadi zle dictionaries zinazotumika kwenye chatbots. Kama unataka data ambazo bado hazijawa researched, au umenyimwa thn make a research yourself coz ukiongelea A.I ni kama branch tu ya data science ambamo research nayo unaikuta humohumo kwenye somo la data science
Artificial intelligence ni pana sana kuliko data science
 
Artificial intelligence ni pana sana kuliko data science

Daaaah.. labda kwa syllabus ya bongo, ila internationally Data science ndo inabeba machine learning(Humu ndo unakuta A.I) , statistics na data analysis kutumia algorithms mbalimbali.

Hii hapa chini ni article kutoka WIKIPEDIA

Data science is a multi-disciplinary field that uses scientific methods, processes, algorithms and systems to extract knowledge and insights from data in various forms, both structured and unstructured,[1][2] similar to data mining.

Data science is a "concept to unify statistics, data analysis, machine learning and their related methods" in order to "understand and analyze actual phenomena" with data.[3] It employs techniques and theories drawn from many fields within the context of mathematics, statistics, information science, and computer science.

Turing award winner Jim Gray imagined data science as a "fourth paradigm" of science (empirical, theoretical, computational and now data-driven) and asserted that "everything about science is changing because of the impact of information technology" and the data deluge.[4][5]
 

Attachments

  • IMG_20190316_163938_323.JPG
    IMG_20190316_163938_323.JPG
    71.4 KB · Views: 27
Daaaah.. labda kwa syllabus ya bongo, ila internationally Data science ndo inabeba machine learning(Humu ndo unakuta A.I) , statistics na data analysis kutumia algorithms mbalimbali.

Hii hapa chini ni article kutoka WIKIPEDIA

Data science is a multi-disciplinary field that uses scientific methods, processes, algorithms and systems to extract knowledge and insights from data in various forms, both structured and unstructured,[1][2] similar to data mining.

Data science is a "concept to unify statistics, data analysis, machine learning and their related methods" in order to "understand and analyze actual phenomena" with data.[3] It employs techniques and theories drawn from many fields within the context of mathematics, statistics, information science, and computer science.

Turing award winner Jim Gray imagined data science as a "fourth paradigm" of science (empirical, theoretical, computational and now data-driven) and asserted that "everything about science is changing because of the impact of information technology" and the data deluge.[4][5]
Data science ni sawa na machine learning ambayo ni branch ya AI, na kama unavyoona ubongo wa binadamu AI lengo lake ni kufanya kaz kama ubongo ndo maana AI ni pana said ya data science
 
A.I ni technology mpya kabisa ambayo makapuni mengi uko dunia yana jaribu kucopy ili kurahisisha baadhi ya mambo sana katika kufanya maamuzi (decision making) na hii technology inategemea sana accurate data na hizi data mara nyingi zinapatikana kwenye field usika mimi ningekushaur jaribu kukusanya data wewe mwenyewe kutoka kwenye field pia experience ni kitu muhimu katika kutengeneza A.I

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaah.. labda kwa syllabus ya bongo, ila internationally Data science ndo inabeba machine learning(Humu ndo unakuta A.I) , statistics na data analysis kutumia algorithms mbalimbali.

Hii hapa chini ni article kutoka WIKIPEDIA

Data science is a multi-disciplinary field that uses scientific methods, processes, algorithms and systems to extract knowledge and insights from data in various forms, both structured and unstructured,[1][2] similar to data mining.

Data science is a "concept to unify statistics, data analysis, machine learning and their related methods" in order to "understand and analyze actual phenomena" with data.[3] It employs techniques and theories drawn from many fields within the context of mathematics, statistics, information science, and computer science.

Turing award winner Jim Gray imagined data science as a "fourth paradigm" of science (empirical, theoretical, computational and now data-driven) and asserted that "everything about science is changing because of the impact of information technology" and the data deluge.[4][5]
machine learning ni moja ya application ya AI ambayo unaweza kuapply kwenye control systems applications kama vile robotics and automation, AI software like cryptography, google AI etc

people do dig deep, the real business inside AI softwares are just some sorts of finite algorithms of conditionals(decision making) and loops of certain programming language say python, c or whatever embedded on certain processor or micro-controller, developers knows . Nothing special or near to real human intelligence has been achieved yet in this field.
 
Nimefungua artificial intelligence kampuni, Ila nimekuja gundua kudevelop artificial intelligence product kutokea Africa (Tanzania) ni ngumu sana, Kwa sababu zinahitaj data ili uweze ku-tumia algorithms kutengeneza product, mfano ili utumie deep learning unatakiwa uwe na data nyingi sana ili uweze ku-train neural network model, na makampuni mengi ya Africa hayako tayar kushare data na AI research company. Pili wataalamu; kufanya AI inahitaji ubunifu wa hali ya juu na kutokana na waafrica kuwa wavivu kufikiri imekuwa kikwazo kupata wafanyakaz wabunifu
projects gani hizo mkuu unaweza kuwaweka vijana wazi kidogo..watu wanaweza kua na maarifa ya haya mambo ila wakakosa ujuzi sababu hamna sehemu ya kuapply kwa mazingira ya kwetu huku ila ukiwaweka wazi ushishangae nafasi zikawa chache kwa upande wako, naam..
 
Nimefungua artificial intelligence kampuni, Ila nimekuja gundua kudevelop artificial intelligence product kutokea Africa (Tanzania) ni ngumu sana, Kwa sababu zinahitaj data ili uweze ku-tumia algorithms kutengeneza product, mfano ili utumie deep learning unatakiwa uwe na data nyingi sana ili uweze ku-train neural network model, na makampuni mengi ya Africa hayako tayar kushare data na AI research company. Pili wataalamu; kufanya AI inahitaji ubunifu wa hali ya juu na kutokana na waafrica kuwa wavivu kufikiri imekuwa kikwazo kupata wafanyakaz wabunifu

fungua kampuni ya pombe
 
fungua kampuni ya pombe
Dah...kweli kwa AI bongo bado...labda tukifika uchumi wa viwanda...nilichojifunza usifikirie kutengeneza kitu kipya...fikiria kuboresha vile vilivyopo sasa...

Sent using Beretta ARX 160
 
Nimefungua artificial intelligence kampuni, Ila nimekuja gundua kudevelop artificial intelligence product kutokea Africa (Tanzania) ni ngumu sana, Kwa sababu zinahitaj data ili uweze ku-tumia algorithms kutengeneza product, mfano ili utumie deep learning unatakiwa uwe na data nyingi sana ili uweze ku-train neural network model, na makampuni mengi ya Africa hayako tayar kushare data na AI research company. Pili wataalamu; kufanya AI inahitaji ubunifu wa hali ya juu na kutokana na waafrica kuwa wavivu kufikiri imekuwa kikwazo kupata wafanyakaz wabunifu

Jaribu kuongea / kushirikiana serikali. Wana data za kuanzia.
 
Back
Top Bottom