Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Hivi majuzi nilipoteza simu iliyokuwa na line ya mtandao fulani (sitautaja) kwakuwa ni line inayofahamika zaidi nilitembelea duka la mtandao husika ili wanisaidie kurudisha, baada ya maelekezo mafupi walinielekeza kwenda kituo cha polisi cha kati, polisi nao walinipokea na kuniuliza tarehe ya kupoteza, nikawatajia, wakaniambia niendelee kuitafuta kwa siku 7 nikikosa kabisa ndo niende kupata loss report.
Ikabidi nicheke nikamwambia kamanda jaribu kufikiri kuhusu muda pia, badae akasema sawa ila inabidi tuandike ilipotea siku 7 zilizopita nikakubali akaandika nikahisi nikisha lipia ntakuwa nimemaliza na kurud dukani.
Cha ajabu baada ya kupewa RB na kukamilisha taratibu zote za loss report, polisi walinielekeza kwenda ktk mtaa ninaoishi then mwenyekiti wa mtaa anipe barua ya utambulisho ndipo niende duka la service provider wangu ku renew.
Hapo nilichoka kwakweli.
USHAURI: Taratibu hizi zingefuatwa kipindi cha kusajili line sio ku renew line, hatahivyo kwa maendeleo ya technology kwasasa sidhani kama huu mlolongo unatija, wekeni utaratibu tufanye kilakitu online, unganisheni mifumo yenu na NIDA ili tukifanya vyote online ukitoka nyumbani unaenda dukani kuchukua line yako unasepa.
Ikabidi nicheke nikamwambia kamanda jaribu kufikiri kuhusu muda pia, badae akasema sawa ila inabidi tuandike ilipotea siku 7 zilizopita nikakubali akaandika nikahisi nikisha lipia ntakuwa nimemaliza na kurud dukani.
Cha ajabu baada ya kupewa RB na kukamilisha taratibu zote za loss report, polisi walinielekeza kwenda ktk mtaa ninaoishi then mwenyekiti wa mtaa anipe barua ya utambulisho ndipo niende duka la service provider wangu ku renew.
Hapo nilichoka kwakweli.
USHAURI: Taratibu hizi zingefuatwa kipindi cha kusajili line sio ku renew line, hatahivyo kwa maendeleo ya technology kwasasa sidhani kama huu mlolongo unatija, wekeni utaratibu tufanye kilakitu online, unganisheni mifumo yenu na NIDA ili tukifanya vyote online ukitoka nyumbani unaenda dukani kuchukua line yako unasepa.