Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 4,857
- 13,014
Leseni mpya itaanza kusoma kuanzia mwaka ulioishia leseni ya zamani, so leseni mpya itapungua miaka miwili (2019-2024)Miaka5
Leseni mpya itaanza kusoma kuanzia mwaka ulioishia leseni ya zamani, so leseni mpya itapungua miaka miwili (2019-2024)Miaka5
Vishoka ni njia salama kweli? Vipi wakinidhulumu?tafuta vishoka mkuu dakika sifuri unapata leseni yako huwa wana landa landa maeneo ya ofisi za TRA
Sawa mkuu. Japo nilitaka nijue taratibu za awali ili nikienda nisipoteze mudaMajibu yote utayapata TRA!
Namba ya nini mkuu?kama unaikumbuka namba, mtoe trafic mkono mmoja au miwili......unaipata vema tuu...kama hukumbuki pia njia ni hiyo hiyo...
Duh!!! Mbona issue sasaKihalali kabisa kwa mujibu wa kitengo cha traffic pale pembeni ya waterfront, ikipita miaka 2 tangu imalize muda wake, unaanza upya kuomba.
Itabidi niende nipewe hiyo formHakuna haja ya kwenda Trafiki,nenda TRA waambie unataka kuhuisha Leseni,utaolewa fomu ya kujaza ukimaliza utapewa namba ya malipo utaenda kulipia. 70k
Traffic tena??? Hapa panahitaji cheti cha mafunzo ya uderevaNi lazima apite traffic kwanza. Mfumo wa TRA hautaruhusu process kuendelea bila ya kupitishwa na traffic kwenye mfumo.
Ndicho nilichoelewa nilipoenda kurenew mwezi wa Feb 2021.
Nenda na taarifa zako muhimu ikiwemo hiyo leseni iliyo kwisha muda wake. Ukifika tu mapokezi, shida yako itakuwa imeshapatiwa tayari ufumbuzi. Maana utaelekezwa dirisha la kwenda.Sawa mkuu. Japo nilitaka nijue taratibu za awali ili nikienda nisipoteze muda
ya leseniNamba ya nini mkuu?