Ku "Do" huwapunguzia wanaume miaka ya kuishi..... punguzeni! -UTAFITI

Mtafiti1

JF-Expert Member
Mar 5, 2011
263
148
Ni ajabu lakini kweli!
Siku zote twaambiwa wanaume huishi miaka kidogo ukilinganisha na wanawake.
Sababu zinazotolewa huwa za kawaida - ajali zaidi, kuhangaika zaidi, nk.

Pia tunaambiwa wanawake wana akiba zaidi kwenye miili yao - minyama na mafuta.
Kumbe kuna zaidi ya hii! Wanaume wao hujimaliza wenyewe kwa tamaa zao.
Kitendo cha kumwaga manii kumbe huwapunguzia miaka kwenye maisha yao.
Kadri unavyojifanya kijogoo kwenda raundi kadhaa, ndivyo unakata miaka kadhaa kwenye
maisha yako.
Someni hii kama mnabisha:

On December 3, 1992, the New York Times reported startling scientific research that seems to
confirm the ancient Taoist insight about the toll that sperm production takes on a man's body
The new work suggests that ceaseless sperm production takes its toll on a male, perhaps
requiring the use of complex enzymes or biochemical processes that have harmful metabolic byproducts." The Times goes
so far as to suggest that "the difference in life span between men and women just may be linked to sperm production.
Women on average live about six years longer than men." There are other theories to explain the disparity in life
expectancy between men and women, including differences in lifestyle and in hormones. Whether or not the production
of sperm actually shortens your life, it certainly saps your strength.Over two thousand years ago – long before experiments on human sexuality– the Taoists described the importance of not ejaculating in the Discourse on the Highes Tao Under Heaven: "If a man has intercourse without spilling his seed, his vital essence is strengthened. If he does this twice, his hearing and vision are made clear. If three times, all his physical illness will disappear. The fourth time he will begin to feel inner peace. The fifth time his blood will circulate powerfully.
The sixth time his genitals will gain new prowess. By the seventh his thighs and buttocks will become firm. The eighth
time his body will radiate good health. The ninth time his life span will be increased."

Kazi kwenu!
 
PROGENY AND PLEASURE
Looking at the simple arithmetic of sperm production helps explain the reason that ejaculation can be so taxing on your
body. An average ejaculation contains 50 to 250 million sperm cells. (Theoretically speaking, if each sperm fertilized an
egg, one to five ejaculations could repopulate the United States!) Every single one of those sperm cells is capable of
creating half of an entire new human being. Any factory that produces 50 to 250 million products needs raw material, and
in this case the raw material is you.

Although your body produces a large amount of sperm each day, the value of this
sperm should not be underrated. If your body does not need to replenish this sperm,
it is able to use this energy to strengthen your body and your mind. This energy is used to
improve your health, creativity, and spiritual growth.

Every time you ejaculate, your body assumes that it is getting ready to create a new life.
All of the organs and glands in your body give their best energy, what is called orgasmic energy.
In many species, once this energy has been given, once the seed has been lost,
the body of the animal starts to deteriorate. Salmon, for example, die soonafter they spawn.
Anyone who has spent time gardening knows that plants die or become dormant once they give their
seed. Plants that are kept from going to seed live longer than those that are not.
Though, luckily for us, we do not die after ejaculating, we are part of nature and that
we must understand nature's laws.
According to Sexual Behavior in the Human Male (popularly known as the Kinsey Report),
an average man ejaculates about five thousand times during his lifetime;
some men ejaculate many, many more times. During the course of an
average man's sex life (and this includes time spent locked in the bathroom),
a man ejaculates 1 trillion sperm. Assuming that some of this ejaculation happens with a partner,
the chances of his passing on his genetic code are pretty good.
Most of the time, however, when we make love – not for progeny, but for pleasure – there is no need to spill our seed
and deplete our bodies.
- jifunzeni kutokumwaga mnapofanya!
 
Mmmh! Sina uhakika, kuna washkaji nawafahamu wao kila siku wanapiga game, mbona hawafi sasa? Kwanza ndio wana afya na wanang'aa kama nini?
 
sometimes yes sometimes no....teh teh na ku do ni lazma ila kwa mpango sio ovyo ovyo
 
Kuna theory zinazoeleza kuwa ngono inajenga afya bora. Mtu anayekuwa na afya nzuri maana yake ni kwamba muda wake wa kuishi unaongezeka. Mimi nitaendelea kupiga mabao kama kawa.
 
Sorry just passing by... Maana this MAN of mine nikimpa hii report atadai haijaandikwa na marijali....
wako mstaarabu ningeulizwa mwenzio umeanza liini mambo ya kishoga!!yalaaahhh napita to weekend njema mie
 
Mmmh! Sina uhakika, kuna washkaji nawafahamu wao kila siku wanapiga game, mbona hawafi sasa? Kwanza ndio wana afya na wanang'aa kama nini?

tena wananenepeana kama wale wachezaji wa redsea wa ertea waliokula kona wamehifadhiwa ilalal na unicef mwandishi anaenda anakuta wote wana vitambi kama wanakunywa gongo wakauliza mtaweza kucheza kweli wakamwambia tupe game akuruditena!!!!!!
 
huu ni uongo sana kwani umeangalia limited and biased parameters

cheki wenye ndoa za wake wengi kupata stats nyingine zilizo bias to balance hii... cheki pia stress na factors zake, mazoezi ya viungo na faida zake na pia role ya kuwa mwanaume inavyosaidia kuzuia release ya visivyohitajika
 
Kama ni kweli maneno hayo yaliyoandikwa mbona guest za kulala wenyeji zinazidi kuchipuka , tatizo la wazungu nguvu za kufanya za hiyo shughulihawana, wanataka na wengine wasifanye ili tuwe sawa, sisi waafrika hatukuogopa UKIMWI tutaogopa utafiti huo wa wazungu?
 
Huyo mchangiaji aliyesema tujifunze ku "do" bila kumwaga! Sidhani kama anajua utamu ulipo kati ya mwanzo na mwisho,raha ya mechi bao!
 
Research mgando! ...... mi sikubaliani kabisa na mtoa mada coz leo nimeangalia tbc1 nikashuhudia jamaa ana wake saba na watoto 54!! na jamaa bado yupo hai. mh! kuna wa2 nux!
 
PROGENY AND PLEASURE
Looking at the simple arithmetic of sperm production helps explain the reason that ejaculation can be so taxing on your
body. An average ejaculation contains 50 to 250 million sperm cells. (Theoretically speaking, if each sperm fertilized an
egg, one to five ejaculations could repopulate the United States!) Every single one of those sperm cells is capable of
creating half of an entire new human being. Any factory that produces 50 to 250 million products needs raw material, and
in this case the raw material is you.

Although your body produces a large amount of sperm each day, the value of this
sperm should not be underrated. If your body does not need to replenish this sperm,
it is able to use this energy to strengthen your body and your mind. This energy is used to
improve your health, creativity, and spiritual growth.

Every time you ejaculate, your body assumes that it is getting ready to create a new life.
All of the organs and glands in your body give their best energy, what is called orgasmic energy.
In many species, once this energy has been given, once the seed has been lost,
the body of the animal starts to deteriorate. Salmon, for example, die soonafter they spawn.
Anyone who has spent time gardening knows that plants die or become dormant once they give their
seed. Plants that are kept from going to seed live longer than those that are not.
Though, luckily for us, we do not die after ejaculating, we are part of nature and that
we must understand nature's laws.
According to Sexual Behavior in the Human Male (popularly known as the Kinsey Report),
an average man ejaculates about five thousand times during his lifetime;
some men ejaculate many, many more times. During the course of an
average man's sex life (and this includes time spent locked in the bathroom),
a man ejaculates 1 trillion sperm. Assuming that some of this ejaculation happens with a partner,
the chances of his passing on his genetic code are pretty good.
Most of the time, however, when we make love – not for progeny, but for pleasure – there is no need to spill our seed
and deplete our bodies.
- jifunzeni kutokumwaga mnapofanya!

ejaculation is the only thing that make pleasure of sex to man ni ngumu sana kusex then ukajizuia hii kitu haaaaaa
 
Back
Top Bottom