Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

Habari za wakati huu, watu wangu wa nguvu hapa jukwaani, Jukwaa pendwa sana la MMU. Niwape pole ndugu na jamaa ambao siku yao imewamendea vibaya kwa namna moja au nyingine.

Acha niende kwenye mada yangu, kwa sasa nina date mdada mmoja hivi yuko 28 hivi, huyu mdada anajitambua na pia anajua nini maana ya mapenzi na uhuru katika mahusiano. Toka tumekuwa katika mahusiano, sehemu kubwa ni amani na pia mtu anayenipa changamoto ya kupambana na maisha.

Ni Mmarangu, Mzuri sana, anaumbo fulani safi sema anakakitambi fulani hivi 😘😘 ila mie hainipi shida sana kwa sababu napenda nyama nyama. Kulingana na uzoefu wangu, huyu dada ananifanya nione sababu kwanini ni muhimu sana kuzingatia suala la umri kwenye kuchagua mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano serious sio yale ya "hit and run" .

Huyu mdada acha nimsifie tu, Mzuri🥰, Hana umbo la boks la karata, Anajituma kutafuta pesa, mzuri na msikivu. Sasa nimejaribu kulinganisha na hii age ya kuanzia 22 hadi 25 hapo hivi, kwa uzoefu wangu nimepitia headache sana. Mambo yanayofanywa na hawa wanawake wa age hii;
  • Anataka muda wote muwe mnachati tu, usimwambie niko nakazi ananuna 😏😏
  • Kukaguana kaguana simu, isipigwe simu na ikasikika sauti ya kike maswali yanaanza kama mahakamani 😔
  • Wanapenda mapenzi ya show off, sijui mtembee mmeshikana mikono barabarani kila mtu ajue sijui ndio lengo lao
  • Na mengine mengi tu
Mazuri ambalo nimeona ni moja tu
  • Hawa watoto ni watamu sana ila akili hamnamo .
Ni hayo tu, huu ni uzoefu wangu, toa uzoefu wako. POVU RUKSA

Mbona sioni kitambi hapo
 
Hongera ila naona kama una vina 7 vya kulelewa mkuu.

Hapana Mkuu, Napenda wanawake wanaojua kutafuta pesa sio kulelewa. Huyu mdada anatafuta pesa, so mimi namimi natoaga support panapobidi. Sitaki wanawake albao ni fully dependent.
 
Habari za wakati huu, watu wangu wa nguvu hapa jukwaani, Jukwaa pendwa sana la MMU. Niwape pole ndugu na jamaa ambao siku yao imewamendea vibaya kwa namna moja au nyingine.

Acha niende kwenye mada yangu, kwa sasa nina date mdada mmoja hivi yuko 28 hivi, huyu mdada anajitambua na pia anajua nini maana ya mapenzi na uhuru katika mahusiano. Toka tumekuwa katika mahusiano, sehemu kubwa ni amani na pia mtu anayenipa changamoto ya kupambana na maisha.

Ni Mmarangu, Mzuri sana, anaumbo fulani safi sema anakakitambi fulani hivi ila mie hainipi shida sana kwa sababu napenda nyama nyama. Kulingana na uzoefu wangu, huyu dada ananifanya nione sababu kwanini ni muhimu sana kuzingatia suala la umri kwenye kuchagua mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano serious sio yale ya "hit and run" .

Huyu mdada acha nimsifie tu, Mzuri, Hana umbo la boks la karata, Anajituma kutafuta pesa, mzuri na msikivu. Sasa nimejaribu kulinganisha na hii age ya kuanzia 22 hadi 25 hapo hivi, kwa uzoefu wangu nimepitia headache sana. Mambo yanayofanywa na hawa wanawake wa age hii;
  • Anataka muda wote muwe mnachati tu, usimwambie niko nakazi ananuna
  • Kukaguana kaguana simu, isipigwe simu na ikasikika sauti ya kike maswali yanaanza kama mahakamani
  • Wanapenda mapenzi ya show off, sijui mtembee mmeshikana mikono barabarani kila mtu ajue sijui ndio lengo lao
  • Na mengine mengi tu
Mazuri ambalo nimeona ni moja tu
  • Hawa watoto ni watamu sana ila akili hamnamo .
Ni hayo tu, huu ni uzoefu wangu, toa uzoefu wako. POVU RUKSA

Binti wa sasa akikwambia ana miaka 20 zidisha mara 3 gawa kwa 2 ndo utapata umri wake halisi.


Kapuya na uzee wake wote alioa binti wa miaka 19 eti mimi na ujana wangu nikaoe binti wa miaka 27??? Zitakuwa hazinitoshi
 
Binti wa sasa akikwambia ana miaka 20 zidisha mara 3 gawa kwa 2 ndo utapata umri wake halisi.


Kapuya na uzee wake wote alioa binti wa miaka 19 eti mimi na ujana wangu nikaoe binti wa miaka 27??? Zitakuwa hazinitoshi

Kwakweli zitakuwa hazikutoshi
 
Back
Top Bottom