Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
- Thread starter
- #61
Upo vizuri sana mkuu.. naoenda unavyo leta fact.
Kama nilivyosema, hadi sasa TRA inakusanya 15% ya GDP badala ya 24% bado TRA ipo mbali sana kufikia 24% ya GDP, japo lengo sio kufikia 24%, wastani mzuri duniani ni kufikia 20%. Kikwete aliacha tunakusanya 11% ya GDP, kwahiyo tunapiga hatua taratibu.
KRA bado ina matatizo mengi, kinda see ni kutotanua base ya kukusanya kodi, matumizi ya tehama na ubunifu mdogo wa uongozi wa TRA.
Ila kama tunataka kulinganisha na KRA. Hatupaswi kulinganisha kiwango cha pesa zinazokusanywa kwasababu uchumi wa Kenya na Tanzania ni tofauti.
Mfano ni nchi ya Botswana ambayo makusanyo yao kwa mwaka hayafiki hata 6trl, lakini katika ukusanyaji kodi, ndio nchi inayofanya vizuri zaidi Africa, wanakusanya 22% ya GDP yao, hivyohivyo kwa Rwanda.