mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
Which Tanzanians travel domestically using your grounded planes na wengi wenu ni watu was vijiweni? Najua zinaota kutu kama kawaida baada ya nyimbo za tuta-tua Guangzhou sijui Johannesburg mara Mumbai lakini ng'o! Minofu ya Qatar iliishia wapi? Bure kabisa!Kweli kabisa, ATCL mpaka hili zuio la Corona linaanza, ilikua inategemea faida zaidi kutokana na "Domestic routes" kuliko routes za nje, bado routes za ndani zinaendelea, zimeathirika kidogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app