KQ sasa inapiga Route za daladala - wanasema hazina pesa za kukidhi mishahara na madeni

Kweli kabisa, ATCL mpaka hili zuio la Corona linaanza, ilikua inategemea faida zaidi kutokana na "Domestic routes" kuliko routes za nje, bado routes za ndani zinaendelea, zimeathirika kidogo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Which Tanzanians travel domestically using your grounded planes na wengi wenu ni watu was vijiweni? Najua zinaota kutu kama kawaida baada ya nyimbo za tuta-tua Guangzhou sijui Johannesburg mara Mumbai lakini ng'o! Minofu ya Qatar iliishia wapi? Bure kabisa!
 
Ndio hao. Kabla ya kukata viuno walikata utepe kwanza.
5.jpg
Kisha ikawa ni siku ya sherehe ya mapokezi ya bombadia. Jamaa walishambulia minofu kweli kweli siku hiyo, hadi siku ya pili walikuwa wanatoa uboho wa ng'ombe kwenye masikio yao.
Ushamba! Alafu zikaishia parking kuota kutu.
 
Which Tanzanians travel domestically using your grounded planes na wengi wenu ni watu was vijiweni? Najua zinaota kutu kama kawaida baada ya nyimbo za tuta-tua Guangzhou sijui Johannesburg mara Mumbai lakini ng'o! Minofu ya Qatar iliishia wapi? Bure kabisa!
Satafrika walienda siku mbili wakashindwa kurudi huko tena halafu wanasingizia machafuko. Wanafikiri hii biashara ni kama ile ya kuuza pweza kando ya bahari! 😂 😂 😂
 
Operations za ATC kwa wanaofahamu siyo za hasara bali kinachowaumiza
sana ni kulipa madeni yalioachwa na viongozi waliopita ambayo serikali imeliambia shirika hilo liwajibike kwa madeni hayo.

Hasara ya ATCL ni hasara ya serikali. Hata ATCL ikikosa kuiorodhesha kwa vitabu vyake.

Mamilioni ya dola yaliotumika kununua dreamliner, lazima yatalipwa.
Haya hayako kwa vitabu vya ATCL.

Kwa maana, deni la ATCL = deni la GOT
 
Link from 2017?, even the idea of buying new planes was not born, even our airports were not renovated yet, bring data of 2019/20 and you will never come here again, we are moving very fast not stagnating like you

Sent using Jamii Forums mobile app

Don't be a shoddy economist.
Most Tanzanians cannot afford to fly. Very little has changed in 2 years.

Buying 5 planes has not put more money in Tanzanians pockets. They still cannot afford to fly.

Ata nauri ikipungua kidogo, haitabadilisha economics za nchi.

ATCL will just share passengers with other airlines, from the same small pool of total passengers.
 
Operations za ATC kwa wanaofahamu siyo za hasara bali kinachowaumiza
sana ni kulipa madeni yalioachwa na viongozi waliopita ambayo serikali imeliambia shirika hilo liwajibike kwa madeni hayo.

Gharama kubwa ya airlines ni aircraft acquisition. Ndio maana hasara ni kawaida kwa hii industry.
ATCL ilitumia pesa gani kununua ndege?
 
Wakenya hapa walisema eti kununua ndege cash kama ATCL ni maamuzi mabaya. Sasa wanalia nini na mlikejeli ATCL kuanzisha biashara na routi za ndani? Mjifunze

=======
KQ applies for State bailout to avoid collapse

Kenya Airways has sought a multi-billion shilling government bailout after the grounding of its aircraft due to the ban on international flights sparked by the coronavirus pandemic.

The airline stopped international flights after a State order on March 22 to cancel all cross-border passenger flights. The order effectively cut off Kenya Airways’ flow of new revenues at a time when it had no cash reserves.

Without State aid, the airline risks running out of money in the near future against the background of banks’ uneasiness in lending to Africa carriers.

Kenya Airways Chief Executive Officer Allan Kilavuka Monday said that the carrier had sent an emergency notice for additional funds to both the Treasury and the Ministry of Transport.

The airline said it needs money for maintenance of grounded planes, payment of staff salaries and settlement of utility bills like security, water and electricity.

“We have requested the government for financial support through a bailout as at the moment we are cash strapped by the fact that we are no longer in operation, except for a few local flights,” said Mr Kilavuka in an exclusive interview with the Business Daily.

Mr Kilavuka declined to reveal the amount the carrier is seeking from the Treasury, but added that it had also sought for other incentives like tax breaks and waiver of navigation and landing fees at airports.

Domestic flights contributed only eight percent of the airline’s sales in 2018, bringing in Sh9 billion out of Sh114 billion that the listed firm recorded as revenue. This means that KQ on average generates about Sh300 million daily from international flights.

“Aircraft engines have to be maintained often and it is important that we get funds for this,” Mr Kilavuka said.
According to him, the national carrier requires the State aid “as soon as possible”. However, he did not disclose whether Kenya Airways is seeking a grant, a loan or a combination of both.

Bloomberg news last week listed KQ as one of the airlines that risks running into bankruptcy unless it gets immediate government intervention within the next two months.

The grounding of international flights is a signal that the national carrier will take a big revenue hit this year. As part of mitigation measures, KQ’s top executives as well as some employees took a pay cut of up to 75 per cent of their gross salary following the grounding of international flights.

KQ’s fresh request for a government bailout comes weeks after it received a Sh5 billion loan from the Treasury, a move that increased the national carrier’s indebtedness to the government — its top shareholder. The government owns 48.9 per cent of KQ shares. In 2017, the State converted Sh16.8 billion worth of loans it had provided to the company into shares as part of the airline’s debt restructuring.

The government also holds another Sh7.7 billion worth of convertible debt. KQ has warned current and prospective investors that its proposed corporate restructuring, including nationalisation, could hurt the value of their holdings. Among other terms, shareholders will be waiting to know the price the government will be offering to buy them out.

Despite dropping to the current levels of Sh1.40 a share, KQ’s share price represents a major premium given that its liabilities exceed its assets. The firm reported a net loss of Sh8.5 billion in the half year ended June 2019, more than double the net loss of Sh4 billion the year before as costs rose faster than revenue.

The loss saw the company’s negative equity widen to Sh16.1 billion from Sh2.4 billion, underlining the airline’s capital crisis. Turnover in the review period rose to Sh58.5 billion from Sh52.1 billion, representing a 12.2 per cent increase.

KQ’s problems have been linked to a mix of increased competition, corruption, mismanagement and a previous debt binge that continues to weigh heavily on its balance sheet.
What's the follow up on that highly documented maiden trip to new york?
 
ATCL haijawahi kuomba pesa toka serikalini hata mara moja tangu ilipopokea ndege zake, inauwezo wa kujiendesha yenyewe, hata katika kipindi hiki kigumu, bado unaweza kulipia gharama zake za uendesha.

KQ kila mwaka lazima linaomba pesa toka serikalini ili kuweza kuendesha shughuli zake, sasa kama haliwezi kujiendesha lenyewe kwanini mslifute, biashara gani inayolitia Taifa hasara kila mwaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
ATCL na selekali ya TZ ni kitu kimoja, hawana haja ya kuomba serekali manake wao ni serekali. NDege, spare partsetc zina nunuliwa na serrekali.
KQ ni kampuni ambayo imepewa nguvu za kisheria na kibiashara ku operate kama kampuni ya kibisafsi, wakitaka kununua engine mpya, spare parts au ndege basi ni watumie pesa zao zilizoko kwa account yao....
 
Back
Top Bottom