Christopher H.Bomola
Member
- Nov 10, 2014
- 48
- 18
Naomba mwenye uzoefu au aliyesoma kozi ya sheria katika chuo kikuu huria,nataka kujua nasoma mnasoma unit ngapi kwa muhula wa kwanza na natakiwa kujichanga shilingi ngapi ili angalau niweze kuwa admitted na kuanza masomo kwa semesta ya kwanza.
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani