mka
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 318
- 81
Watu mnagegenralise sana mambo. Watu wanasoma engineering so called origanal ya UDSM wanasimamia jengo na linaporomoka sasa ndiyo unashangaa Kusoma programming kwa wahindi......
Eti Programming. Programmin ndio nini kwenye IT? Kama anajiona anajua muache ajione anajua hata kama kasomea kwa kemcho bahi otherwise kama unajua zaidi yake mchalallenge......
Yalaaa...don't take it personal.