Umejitahidi hata kutembelea web ya Mzumbe kweli? Vyuo vyetu vimejitahidi kuuza "shahada" - kujitangaza online.... Maswali yako yote yako online. Why can't u surf the relevant web?
nimejaribu ila nilihitaji pia maelezo zaidi toka kwa wadau wengine. thanx.
Hujasema ni katika level gani unaulizia. Is it at Bachelor Level, Masters or PhD.
Course ya Health System Management ina historia ndefu sana pale Mzumbe. Hapa Mwanzo ilikuwa ikitolewa kama Advanced Diploma Hospital Administatration by then IDM, baadaye ikabadilika kidogo na kuwa ni option ya Public Administration yaani Balchelor of Public Administation in Health Services Management after becoming the University. Na hatimaye ni stand alone degree with more focus on the Health Systems zaidi. Hii ni kwa ngazi zote za Bachelor, Masters mpaka PhD.
Mifumo na Huduma za afya inahitaji uongozi mzuri. Watu wenye Management Skills katika mifumo ya afya ndo wanaopikwa pale Mzumbe. Hawa utawaona wakifanya kazi kama Makatibu wa Mahospitali Makubwa yaani Hospital Secretaries na pia all Health Secretaries in District and Regional Hospitals lazima wawe wamesoma kozi hii pale Mzumbe University. Soko lake la ajira ni zuri so far kwa kuwa NGO nyingi pia zinahitaji watu wa namna hii.
Mzumbe ndiyo chuo pekee kitoacho shahada hii kwa ngazi zote. You can google DR. Sunday Mukama from Nigeria aliyetunukiwa shahada ya UZAMIVU katika Health Systems Management pale Mzumbe in 2011.
Kwa matashi na uamuzi wako, unaweza kwenda kusoma pasipo kushinikizwa na mtu yeyote, na hii ndiyo habari kwa ufupi
Once again, I am sory sio Dr. Sunday Mukama it is Makama. Samahani kwa usumbufu
Nzuri! Kichwa chako tu na kuchapa kazi! Unaweza kuwa msaidiza wa mganga mfawidhi wa hospitali au dk wa wilaya/ mkoa!
Ahahahahaha faculty.. Kwanza hakuna faculty ya HSM Mzumbe... kuna kozi tu ya Health service management ambyo ipo chini ya School of public administration (Kwa mzumbe main campus).. Yote tisa... Ni kozi nzuri maana ajira za afya kwa makatibu wa afya ni direct.. Labda huko mbeleni