Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao ni wanafanya biashara ni matapeli tu au nursery school teaching lablaKuna chuo niliona wametangaza hyo koz wameaandka wenye D4 nisaidien plz hao ni level ip?
Hao ni wapigaji, vigezo vya kusomea hiyo vipo bayana kwenye website ya NACTETangazo linasema iv
Koz mpya ya kupata sifa ya kusoma stashahada ya diploma ya ualim wa shule za msingi (NTA level4)
Sifa :awe na ufaulu Alama D4 katka mtihan wa kidato cha nne.
Ndg zangu sasa hapo sielew msaada plz huwa kuna koz ya kutafta sifa ya kusomea huo ualimu na hao NTA level 4niwahitu wa ainahani?
Hiyo ni diploma in nursery school (English medium)Kuna chuo niliona wametangaza hyo koz wameaandka wenye D4 nisaidien plz hao ni level ip?
DIV I-IIISamahani rafk, vigezo vinasemaje?
Ili ukaajiriwe kwenye kampuni yakoKuna chuo niliona wametangaza hyo koz wameaandka wenye D4 nisaidien plz hao ni level ip?
SIO 3C's BALI UNATAKIWA ATLEAST UWENA DIV3
MAANA UNAWEZA KUA NA CCC ALAF BADO UKAWA KTK DIV4
PIA UNAWEZA UKAWA NA 2A's na D's UKAWA KTK HYO DIV3
SIO 3C's BALI UNATAKIWA ATLEAST UWENA DIV3
MAANA UNAWEZA KUA NA CCC ALAF BADO UKAWA KTK DIV4
PIA UNAWEZA UKAWA NA 2A's na D's UKAWA KTK HYO DIV3
ulisome chuo gani deploma yako ya uandishi wa habari na ulipata GPA ya ngapi kabla sijakupa maelezo yakusoma deploma in primarySawa mkuu kwa mwenye certifocate yoyote au diploma ye anaomba vip? Nina ndg yang pia yye ana diploma ya uandish wa habari msaada jinsi ya kutuma hayo maombi