Kozi ya diploma in primary school teaching, vigezo ni vipi?

ween

JF-Expert Member
Jul 20, 2016
414
128
Ndugu wana jf, habari, polen na majukumu.
Ninaomba kufafanuliwa kuhusiana na hii course kwa upande wa O-level. Je mtu mwenye D4 kidato cha nne anaruhusiwa kuomba course hyo? Taratibu za maombi zikoje?
 
Kuna chuo niliona wametangaza hyo koz wameaandka wenye D4 nisaidien plz hao ni level ip?
 
Tangazo linasema iv

Koz mpya ya kupata sifa ya kusoma stashahada ya diploma ya ualim wa shule za msingi (NTA level4)

Sifa :awe na ufaulu Alama D4 katka mtihan wa kidato cha nne.

Ndg zangu sasa hapo sielew msaada plz huwa kuna koz ya kutafta sifa ya kusomea huo ualimu na hao NTA level 4niwahitu wa ainahani?
 
Tangazo linasema iv

Koz mpya ya kupata sifa ya kusoma stashahada ya diploma ya ualim wa shule za msingi (NTA level4)

Sifa :awe na ufaulu Alama D4 katka mtihan wa kidato cha nne.

Ndg zangu sasa hapo sielew msaada plz huwa kuna koz ya kutafta sifa ya kusomea huo ualimu na hao NTA level 4niwahitu wa ainahani?
Hao ni wapigaji, vigezo vya kusomea hiyo vipo bayana kwenye website ya NACTE
 
Natamani kuomba chuo mwaka huu sijui nifanyeje tu naomba mwenye kijua hyo NTA level 4 anieleze yaan hpo mi siel kitu
 
ukitaka kusomea diploma unatakiwa kuwa na division 3, au certificate yoyote ile.
Sawa mkuu kwa mwenye certifocate yoyote au diploma ye anaomba vip? Nina ndg yang pia yye ana diploma ya uandish wa habari msaada jinsi ya kutuma hayo maombi
 
SIO 3C's BALI UNATAKIWA ATLEAST UWENA DIV3
MAANA UNAWEZA KUA NA CCC ALAF BADO UKAWA KTK DIV4
PIA UNAWEZA UKAWA NA 2A's na D's UKAWA KTK HYO DIV3
 
SIO 3C's BALI UNATAKIWA ATLEAST UWENA DIV3
MAANA UNAWEZA KUA NA CCC ALAF BADO UKAWA KTK DIV4
PIA UNAWEZA UKAWA NA 2A's na D's UKAWA KTK HYO DIV3

mkuu specify vizuli halo tukuelewe, ina maana CCC uwe umebalanc comb au? au elimradi uwe na dv3 /?/
 
SIO 3C's BALI UNATAKIWA ATLEAST UWENA DIV3
MAANA UNAWEZA KUA NA CCC ALAF BADO UKAWA KTK DIV4
PIA UNAWEZA UKAWA NA 2A's na D's UKAWA KTK HYO DIV3

mkuu specify vizuli hapo tukuelewe, ina maana CCC uwe umebalanc comb au? au elimradi uwe na dv3 /?/
 
Sawa mkuu kwa mwenye certifocate yoyote au diploma ye anaomba vip? Nina ndg yang pia yye ana diploma ya uandish wa habari msaada jinsi ya kutuma hayo maombi
ulisome chuo gani deploma yako ya uandishi wa habari na ulipata GPA ya ngapi kabla sijakupa maelezo yakusoma deploma in primary
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom