Kozi ipi vyuo vya VETA ni rahisi kupata ajira Serikalini?

I
Njooo aje asome kozi za information technology..chuon kwetu QBSCL TRAINInG COLLEGE...chuo kilichosajiliwa na veta..ataweza soma certificate yake na hatimaye kupata ajila nzuri ya serikal na makampuni binafsi, class zinaanza 4April,2016. piga , 0222862725
0789812213,0714777211.


Kwa maelezo zaidi piga namba hapo juu.
icho chuo kipo wapi na darasa la saba anaruhusiwa kujiunga
 
Jaman mbona mmejibunje ya swali lake....ameuliza nikozi ipi yenye soko kubwa kwa ajira unatakiwa kujibu kozhii ou hii bas, ....
 
Mkuu mpeleke akasomee umeme, Office Machine Operator(hapa atapiga Photocopy, binding, scanning nk), pia kuna issue za Gardening, Telephone Oparator, Driving Akihitimu hizo kazi za kuajiriwa serikalini bado zina Uhaba wa hizo fani ile mbaya.
 
Back
Top Bottom