Kozi ipi nzuri kati ya IT na Umeme kwa ajira/kujiajiri?

Mkuu Mpeleke umeme chukulia tu mfano wangu mwenye level 3 ya veta anaajiliwa tanesco au mashirika mengine kama fundj umeme je mwenye level 3 ya IT kutoka veta ni wangapi wanaajira rasmi? (Wapo ila ni wachache) graduates wa IT wenye bachelor's zao wengi wapo kitaa wanasota Umeme ndo mpango mzima mkuu

Note:
Na declare interest Mimi ni muhandisi wa umeme
Tena level 3 ni mbali ukiwa na level 1 tu ya umeme na cheti chako cha form four kizur unakula maisha vizur
 
Wewe nenda electrical IT ni 1/9 ya whole EE .

Mkuu naomba ifunguke kidogo kwenye iyo point hapo juu. Mimi nilipendaga umeme ilasikubaatika kupata nafasi UDSM. Nikaingia ugaibuni kutafuta elimu hukunikipiga box na nikasoma IT. Ila sasa hivi nakomaa kwenye IT lwenye distributed power generation ( yaani application za ku-manage alternative enery sources kama solar system na wind turbine) ila nashindwa kujua market ya haya mambo bongo ikoje? Maana sijawai kuona bongo solar power system inayokuja na management software au hata kuunganishwa kwenye mtandao
 
Mkuu naomba ifunguke kidogo kwenye iyo point hapo juu. Mimi nilipendaga umeme ilasikubaatika kupata nafasi UDSM. Nikaingia ugaibuni kutafuta elimu hukunikipiga box na nikasoma IT. Ila sasa hivi nakomaa kwenye IT lwenye distributed power generation ( yaani application za ku-manage alternative enery sources kama solar system na wind turbine) ila nashindwa kujua market ya haya mambo bongo ikoje? Maana sijawai kuona bongo solar power system inayokuja na management software au hata kuunganishwa kwenye mtandao
Mkuu EMS ni nzuri hasa ukizingatia utility bill tracking, realtime energy metering, building HVAC and lightining control systems, building simulation et al. DER naona iko nyuma sana kwa TZ hasa labda e watu kuform company ku promote alternative energy source especially wind and solar may be na cost pia inachangia mkuu.You can generate 1KW-10MW of these alternative na unaweza kupata mikopo pia unaweza kufanya biashara nzuri na tanesco kwa kuwauzia umeme. Shida inakuja most of TZ EE hawathink out of box projects wote macho yapo kuajiliwa tanesco ....kuna jamaa EE rwanda pale niliona project yake ana solar power plant na anasaidia sehem kubwa tu hii inapunguza cost compared na ma gas, petrol hata pollution pia inapungua. You can set and design a project about DER na unapiga hela tu.Sijaona political leader yeyote aki promote hizi innovations, Must wanatengeneza magari lakn hakuna alieliongelea swala hili na kila siku nanenane wanafanya maonyesho ingekuwa UK ina resource kama za TZ sijuw ingefika wspi. Mkuu hio issue ni nzuri.

Kuna makampuni mengi sana ya solar Tz ila sijajua kama ni yote yeneye EMS and application.

eg.
M-kopa solar
Mobisol
Ensol
SolarGrid etc.

But you can design a project proposal and present it to tanesco about EMS ili kuboresha system na mambo ya Cybersecurity in power system . Mfanao System security ya Tanesco bado haina kiwango na ni manual sansana ila ikiwa automatic controlled system itafaa zaid.

NB:
EMS=Energy Management Software
DER=Distributed Energy Resource
 
Mkuu naomba ifunguke kidogo kwenye iyo point hapo juu. Mimi nilipendaga umeme ilasikubaatika kupata nafasi UDSM. Nikaingia ugaibuni kutafuta elimu hukunikipiga box na nikasoma IT. Ila sasa hivi nakomaa kwenye IT lwenye distributed power generation ( yaani application za ku-manage alternative enery sources kama solar system na wind turbine) ila nashindwa kujua market ya haya mambo bongo ikoje? Maana sijawai kuona bongo solar power system inayokuja na management software au hata kuunganishwa kwenye mtandao
Bongo bado kaka hata field ya automation bado haija take place sana kwenye industrial ila inakuja Kwa kasi soon na viwanda vingi isha anza kuwa applicable vuta time soka lajaaa
 
Ni nyingi sana kwa mfano

1.Kutengeneza Laptops (hardware and softwares) ambazo wamiliki wengi wa pc hasa vijana pc wanatengeneza wenyewe kupiga windows kuinstall utilities
2.websites developments ila wahitaji wa hiyo huduma wengi ni makampuni na makampuni huwa yawapa kazi makampuni

3.Softwares developments Wahitaji wa hizo huduma wengi ni makampuni na makampuni huhitaji makampuni

4.kufunga Servers,Wifi mostly ya wahitaji sa hizo huduma ni makampuni kwahiyo IT ina fursa nyingi sana ila sasa zipo officials Yaani mara nyingi mpaka uwe kwenye kampuni ndo upate mkate wako wa kila siku tofauti na umeme inalipa Both sides.
It ni zaidi ya unavyofikiri kiongozi umeme kwa it utasubiri sana am telling you
 
It ni zaidi ya unavyofikiri kiongozi umeme kwa it utasubiri sana am telling you
Mtu wa Umeme anapiga Izo mbishe pia Ataanza Basic computer applications, atapiga networking na Programming Frequently atasoma C na C++ kwa ajili ya microcontroller , Dogo atembee na Umeme mpaka Beng au ordinary diploma Akitoka apo ataunga hio IT yake ngazi ya masters huwezi kutoka IT bachelor then usone Umeme masters ila kutokea umeme kwenda popote Ndani ya subfield za umeme
 
Ni nyingi sana kwa mfano

1.Kutengeneza Laptops (hardware and softwares) ambazo wamiliki wengi wa pc hasa vijana pc wanatengeneza wenyewe kupiga windows kuinstall utilities
2.websites developments ila wahitaji wa hiyo huduma wengi ni makampuni na makampuni huwa yawapa kazi makampuni

3.Softwares developments Wahitaji wa hizo huduma wengi ni makampuni na makampuni huhitaji makampuni

4.kufunga Servers,Wifi mostly ya wahitaji sa hizo huduma ni makampuni kwahiyo IT ina fursa nyingi sana ila sasa zipo officials Yaani mara nyingi mpaka uwe kwenye kampuni ndo upate mkate wako wa kila siku tofauti na umeme inalipa Both sides.
Safi sana mkuu hata me nmefaidika na ushauri wako.
 
Mkuu Mpeleke umeme chukulia tu mfano wangu mwenye level 3 ya veta anaajiliwa tanesco au mashirika mengine kama fundj umeme je mwenye level 3 ya IT kutoka veta ni wangapi wanaajira rasmi? (Wapo ila ni wachache) graduates wa IT wenye bachelor's zao wengi wapo kitaa wanasota Umeme ndo mpango mzima mkuu

Note:
Na declare interest Mimi ni muhandisi wa umeme
Asante kwa ushauri mkuu
 
Kuna Wa2 Waongo Sn, Et 'IT Ni Subset Ya Umeme Na Ukisoma Umeme Lazma Ujue IT Ila Uksoma IT Co Lazma Ujue Umeme'!!, Wa2 wengine wamesoma Lkn Uelewa Mdogo Sn. Elect.Eng Kusoma Masomo Ya Computer Kwenye Baadhi Ya Sem Haina Tofauti Na Koz Zngine Km Mass Com, PR, Civil, Achtect Nk kusoma Comp Ili Iweze Kuwasaidia Kwenye Kaz Zao. Hakuna Subset Hapo. IT Pia Badhi Ya Sem Wanasoma Electrical Na Electronics, Hii Ni Muhimu Kwan Ni Hatari Sana Kwa IT Kutojua Umeme Kwan Field Yake Inategemea Sana Umeme Na Devices Anazofanyia Kaz Ni Electronic. Mf. Unaweza Kuhitaj Kuextend Umeme Kwaajr Ya NW Devices Ni Lazma Ujue Umeme Utatap Wap, Maboya Ndo Huwa Wanatafuta Fundi Umeme Lkn IT Mzuri Hana Haja Au Kunawakat Device Ambazo IT Anainstall Znaweza Kubreak Circuit So IT Anapaswa Kujua What Goes On And How To solve. Ninachoweza Kumshaur Mtoa Mada, Asome Umeme Kwan Appn Yake Nikubwa Lkn IT Appn Nikubwa Kwa Nchi Zlizo Endelea2 Thtzy Ajira Yake Bado Finyu. Ila jitahd Kujuana Na Wa2 Wa Civil Ili Wawe Wanakupa Michongo.
 
Kuna Wa2 Waongo Sn, Et 'IT Ni Subset Ya Umeme Na Ukisoma Umeme Lazma Ujue IT Ila Uksoma IT Co Lazma Ujue Umeme'!!, Wa2 wengine wamesoma Lkn Uelewa Mdogo Sn. Elect.Eng Kusoma Masomo Ya Computer Kwenye Baadhi Ya Sem Haina Tofauti Na Koz Zngine Km Mass Com, PR, Civil, Achtect Nk kusoma Comp Ili Iweze Kuwasaidia Kwenye Kaz Zao. Hakuna Subset Hapo. IT Pia Badhi Ya Sem Wanasoma Electrical Na Electronics, Hii Ni Muhimu Kwan Ni Hatari Sana Kwa IT Kutojua Umeme Kwan Field Yake Inategemea Sana Umeme Na Devices Anazofanyia Kaz Ni Electronic. Mf. Unaweza Kuhitaj Kuextend Umeme Kwaajr Ya NW Devices Ni Lazma Ujue Umeme Utatap Wap, Maboya Ndo Huwa Wanatafuta Fundi Umeme Lkn IT Mzuri Hana Haja Au Kunawakat Device Ambazo IT Anainstall Znaweza Kubreak Circuit So IT Anapaswa Kujua What Goes On And How To solve. Ninachoweza Kumshaur Mtoa Mada, Asome Umeme Kwan Appn Yake Nikubwa Lkn IT Appn Nikubwa Kwa Nchi Zlizo Endelea2 Thtzy Ajira Yake Bado Finyu. Ila jitahd Kujuana Na Wa2 Wa Civil Ili Wawe Wanakupa Michongo.
Ndio ukweli huo IT ni subfield katika umeme, Ndio maana Bila Power computer hazi run, Core course ni Civil, Mechanical na Umeme
 
Mwambie akasomee Umeme unalipa na pia umeme mahitaji yake ni kila siku na kila mahali,popote uendapo umeme unahusika,It inasumbua sana kwenye ajira na pia ajira zake ni chache,it ukiajiriwa ni poa ila usipoajiriwa kubali msoto wa kitaa
 
kwa swali la mleta uzi .. majibu bila kupindisha wa unazi . mpeleke akasome umeme aanze kula hela hiyo it ni janga. mimi nilisoma umeme veta na hatimaye diploma . na niliajiriwa nikiwa na grade one na wala sikusota mtaani. niko kwenye kampuni na computer natengeneza hata sijasoma it
 
kwa swali la mleta uzi .. majibu bila kupindisha wa unazi . mpeleke akasome umeme aanze kula hela hiyo it ni janga. mimi nilisoma umeme veta na hatimaye diploma . na niliajiriwa nikiwa na grade one na wala sikusota mtaani. niko kwenye kampuni na computer natengeneza hata sijasoma it
Brother uko Poa mimi niko umeme pia Diploma nimetokea veta
 
Back
Top Bottom