Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Kozi gani nzuri kwa ngazi ya cheti?nilimaliza form six nikapata div 4 point 19 ya HKL.FORM 4 NILISOMA ARTS PURE NA KUPATA C-5 NA D-3.nimepiga vibarua nimepata hela ya ada hivyo nahitaji kujua kozi gani nzuri ngazi ya cheti.ambayo ina fursa ya ajira moja kwa moja?