Kozi gani itanifaa kwa ufaulu huu na tahasusi hii?

Coster1

Member
Jul 19, 2016
48
11
Habari za mda wadau
Kwanza poleni kwa majukumu.
Nimefungua huu uzi nikiomba mnishauri ni degree gani nzuri naweza fanya kwa masomo na ufaulu wangu
HGE
Hist C
Geo C
Eco C
Bam D
Na 1 ya point 9
Ni chuo kipi kizuri naweza enda na cozi ambayo ni nzuri na marketable kwa sasa
Natanguliza shukran
N. B majibu yawe ya kujenga na sio kubomoa au kukatishaa tamaa maana kuna watu wanajibu wanavyopenda wao kama huna uelewa na jambo hili TAFADHARI usijibu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom