Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,039
- 2,199
Kwa wale wenye kumbukumbu za miaka ya tisini mnaweza kukumbuka kikundi maarufu cha uhalifu jijini Dar.
Kundi hili lilikuwa ni hatari kwani liliweza kuvamia mitaa mbalimbali ya jijini Dar na kufanya uhalifu hasa hasa kuvunja majumba wakiwa kikosi.
Sikumbuki kundi hili lilidhibitiwa vipi lakini lilikuwa kundi hatari likiundwa na vijana wadogo sana.
Kuna timu ya yanga iliyowahi kufanya vizuri ilipewa jina la utani la Yanga Yosso kutokana na heka heka za kundi hili,mmoja wa wachezaji alikuwa ni Nonda shabaani papii ambaye baadaye alicheza ligi ya ufaransa.
Nashangaa kumuona kova anababaishwa na Mbwa mwitu/panya road kiasi cha kufikia kusimamisha ngoma za mchiriku ambao ni utamaduni wa watu wa pwani.
Kova pitia mafaili uone COMMANDO Yosso walidhibitiwa vipi.
Karibuni kwa wale mnaokumbuka mtupe habari zaidi za commando Yosso.
Kundi hili lilikuwa ni hatari kwani liliweza kuvamia mitaa mbalimbali ya jijini Dar na kufanya uhalifu hasa hasa kuvunja majumba wakiwa kikosi.
Sikumbuki kundi hili lilidhibitiwa vipi lakini lilikuwa kundi hatari likiundwa na vijana wadogo sana.
Kuna timu ya yanga iliyowahi kufanya vizuri ilipewa jina la utani la Yanga Yosso kutokana na heka heka za kundi hili,mmoja wa wachezaji alikuwa ni Nonda shabaani papii ambaye baadaye alicheza ligi ya ufaransa.
Nashangaa kumuona kova anababaishwa na Mbwa mwitu/panya road kiasi cha kufikia kusimamisha ngoma za mchiriku ambao ni utamaduni wa watu wa pwani.
Kova pitia mafaili uone COMMANDO Yosso walidhibitiwa vipi.
Karibuni kwa wale mnaokumbuka mtupe habari zaidi za commando Yosso.