Muk
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 547
- 70
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
Wanapenda kujisifu kwa vitu vidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
Ila hoja imeeleweka
Si hapo tu. Bonde la Msimbazi ndio maficho yao makuu. Kuanzia kule Tabata mpaka Salanderbridge. Huko gongo,bangi unga vinauzwa kama ununuavyo chakula kwa mamalishe. Polisi wanayajua maeneo hayo yote.Hao panya road wengi wao walikuwa waosha vioo vya magar na camp yao ipo tbl kwa nyuma askali wa msimbazi wanajua
Si hapo tu. Bonde la Msimbazi ndio maficho yao makuu. Kuanzia kule Tabata mpaka Salanderbridge. Huko gongo,bangi unga vinauzwa kama ununuavyo chakula kwa mamalishe. Polisi wanayajua maeneo hayo yote.
Waislam wenye itikadi kali
Wako wapi polis walio pola furushi la hela zilizo polwa na majambazi kutoka kwa mfanyabiashara pale kaliakoo?
sipati picha ulivyotimua vumbi, hukupoteza kiatu?
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
Polisi ikiamua hilo kundi litasambaratishwa ndani ya wiki moja tuu.
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
una mimba?Kichefuchefu.
huku unakoenda siko, hebu tumipa hekima kidogo japo za kuazima, tuheshimu imani za wengine
Jana RC wa Dar na kamishna kova wametoa msimamo kuwa kuna operesehen kubwa inakuja ya kulifanya dar jiji lenye amani na mahala pa usalama kwa watu kuishi. alisema wameshakomesha kelele za vikundi harama vya panya road, panya roof, mbwa mwitu, watoto wa mbwa nk. hadi sasa zaid ya wahalifu 178 wako ndani. aliomba jamii ishiriki kuwaibua wahalifu wa aina yoyote popote walipo watawachukulia hatua za haraka sana. hongeren walinda amani ya Dar