Wapoti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 2,824
- 1,095
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
Umesahau na wauza sembe
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
Kichefuchefu.
Polisi ikiamua hilo kundi litasambaratishwa ndani ya wiki moja tuu.
Kova.....Ningependa kuwatoa hofu wananchi kuhusiana na uvumi unaoendelea kwenye mitandao tunaomba wananchi wawe watulivu waendelee na shughuli zao kama kawaida. Jeshi langu limejipanga vizuri kuwadhibiti hao vijana. Hao vijana hawana uwezo wa kutushinda sisi alisema Kova
Kamanda huyo aliweka wazi kuwa askari wa kutosha wa doria wameshapangwa maeneo ambayo yametajwa kuwa na mlipuko wa makundi hayo
Polisi ikiamua hilo kundi litasambaratishwa ndani ya wiki moja tuu.
Polisi ikiamua hilo kundi litasambaratishwa ndani ya wiki moja tuu.
Uvumi ni upi sasa?
kiswahili chenyewe cha kuombea maji tu. Uharo mtupu.
Majambazi mnajulikana tu kwa michango yenu mwaka huu lazima tuwatie viberiti hii tabia yenu ya ujambazi mwisho wenu waja.
kwanza aanze na mafisadi aache uonevu
Bora hawa watoto wamenikimbiza juzi wakati natoka job maeneo ya magomeni wanajiita panya road afadhali kabisa
Kichefuchefu.