Janja PORI JF-Expert Member Jul 31, 2011 825 246 Oct 27, 2011 #1 kama kova unasema no Maandamano ya Kupinga Dowans reason usalama basi na Mechi isiwepo cz kuna mkusanyiko
kama kova unasema no Maandamano ya Kupinga Dowans reason usalama basi na Mechi isiwepo cz kuna mkusanyiko
M MPadmire JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,928 3,225 Oct 27, 2011 #4 hapa ni changa la macho. Wanaharakati watoe tamko haraka kwamba kama al shabaab tayari wameingia tanzania, mechi ya simba na yanga na mikusanyiko mingine ifutwe. Je IGP mwema, KOVA wameshindwa kuwalinda watanzania? Ok, pia watoe alternative ya kuandamana, watu wavae vitambaa vyeusi mkononi
hapa ni changa la macho. Wanaharakati watoe tamko haraka kwamba kama al shabaab tayari wameingia tanzania, mechi ya simba na yanga na mikusanyiko mingine ifutwe. Je IGP mwema, KOVA wameshindwa kuwalinda watanzania? Ok, pia watoe alternative ya kuandamana, watu wavae vitambaa vyeusi mkononi