Kova Ameruhusu Maandamano Ya Kuchangia Mradi Wa askofu Gammanywa tar 26/11/2011 !!!!!

Yes, ni mimi EMT. Vipi nafaa kuwa mkwe? Au washaolewa wote?

Mmoja kaolewa, na sasa nalea kijukuu, mmoja kisha oa, mkewe anajidai "we have to wait", mmoja anasoma huko wanapaitaje sijui, halafu akajidai kunialika kabla ya winter, nikaenda kumkomoa. Na mie sikukaa nikamwambia aaah baba ki winter hiki sikiwezi, huyu nae bado barubaru hajaoa. Hako kengine ndio juzi kameanza chuo kikuu huko Dubai. Kalimaliza hapa Al Muntazir, MashAllah kamepiga "A" zote kama mamake. Hako hukawezi, kasomi hako, utaweza kukapikia? kukafulia? kukasafishia nyumba? kama yes, ntakuunganisha nako.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Waislamu waandama kusisitiza kupikiwa Biriani la TAIFA.








Hivi huwa Mujahidina huwa wanaandamana? hebu nipashe, wanadai nini? michango ya Mufti au hawamtambui Rais?

Ukiwaona Waislaam wanaandamana siku ya Ijumaa ujuwe kuna mmoja wao kawaalika Biriani, (zamani) wakitoka Manyema wengi wao wanaishia kwa Marehem Bi khadija pale Udoe kwa kina Hussein Yanga, (Muulize Mkandara kama unabisha, mitaa yake hiyo) biriani baba aaaaah, biriani la Bi Khadija. Wislaam huwa hawana upuuzi wa kuandamana kudai kisichojulikana.
 
Mmoja kaolewa, na sasa nalea kijukuu, mmoja kisha oa, mkewe anajidai "we have to wait", mmoja anasoma huko wanapaitaje sijui, halafu akajidai kunialika kabla ya winter, nikaenda kumokomoa. Na mie sikukaa nikamwambia aaah baba ki winter hiki sikiwezi, huyu nae bado barubaru hajaoa. Hako kengine ndio juzi kameanza chup kikuu huko Dubai. Kalimaliza hapa Al Muntazir, MashAllah kamepiga "A" zote kama maamake. Hako hukawezi, kasomi hako, utaweza kukapikia? kukafulia? kukasafishia nyumba? kama yes, ntakuunganisha nako.

For the avoidance of any doubt mie ni +me. Kwa hiyo hao wa kiume wala sitaki kuwasikia. Kama huyo aliyepiga "A" zote ni -ke, why not. Kama anavyosema Asprin, kinacho matter ni penzi na wala sio elimu, kupika, kuua or kusafisha nyumba.
 
Hapa ni falsafa ndogo tu,wala hatuhijiki kuumiza kichwa; it is just a maater of time. It will reach a time this things will be up side down. It is simple, let us wait.
 
For the avoidance of any doubt mie ni +me. Kwa hiyo hao wa kiume wala sitaki kuwasikia. Kama huyo aliyepiga "A" zote ni -ke, why not. Kama anavyosema Asprin, kinacho matter ni penzi na wala sio elimu, kupika, kuua or kusafisha nyumba.

Haswaaa, umenena vyema sana hayo yote haya"matter" kinacho matter ni hiki:
slimmy-wallet.jpg

Utayaweza?
 
Kwa kwaaaaaaaa kwa, teh teh teh, Al Shabab wapo wengi sana Tanzania, Wa kwanza Kinana! Halafu Rage, Bashe, na wale wasomali wote mliocheza nao, soma nao, na wale Wazigua Waliopewa hifadhi pale Mkata. Halafu usisahau vijana wote Wa Tanzania, maana ya Al Shabab ni vijana, jee hakuna vijana Tanzania?

Siku hizi Maaskofu wanafanya michango kwa maandamano? kweli sasa naamini sera za magwanda ni za kanisa.

avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)
 
Mmoja kaolewa, na sasa nalea kijukuu, mmoja kisha oa, mkewe anajidai "we have to wait", mmoja anasoma huko wanapaitaje sijui, halafu akajidai kunialika kabla ya winter, nikaenda kumkomoa. Na mie sikukaa nikamwambia aaah baba ki winter hiki sikiwezi, huyu nae bado barubaru hajaoa. Hako kengine ndio juzi kameanza chuo kikuu huko Dubai. Kalimaliza hapa Al Muntazir, MashAllah kamepiga "A" zote kama mamake. Hako hukawezi, kasomi hako, utaweza kukapikia? kukafulia? kukasafishia nyumba? kama yes, ntakuunganisha nako.

avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)
 
Hivi huwa Mujahidina huwa wanaandamana? hebu nipashe, wanadai nini? michango ya Mufti au hawamtambui Rais?

Ukiwaona Waislaam wanaandamana siku ya Ijumaa ujuwe kuna mmoja wao kawaalika Biriani, (zamani) wakitoka Manyema wengi wao wanaishia kwa Marehem Bi khadija pale Udoe kwa kina Hussein Yanga, (Muulize Mkandara kama unabisha, mitaa yake hiyo) biriani baba aaaaah, biriani la Bi Khadija. Wislaam huwa hawana upuuzi wa kuandamana kudai kisichojulikana.

Ila nataka nikukumbushe kuwa waislam ndiyo wajuzi wa maswala ya maandamano, tena wakati mwingine hata kwa kesi ya kugombea maiti ya:msela:
 
Kwa kwaaaaaaaa kwa, teh teh teh, Al Shabab wapo wengi sana Tanzania, Wa kwanza Kinana! Halafu Rage, Bashe, na wale wasomali wote mliocheza nao, soma nao, na wale Wazigua Waliopewa hifadhi pale Mkata. Halafu usisahau vijana wote Wa Tanzania, maana ya Al Shabab ni vijana, jee hakuna vijana Tanzania?

Siku hizi Maaskofu wanafanya michango kwa maandamano? kweli sasa naamini sera za magwanda ni za kanisa.

Mpotoshaji mkubwa wee. MAGWANDA wameingiaje hapo wakati harambe hiyo kwanza ilikaguliwa na KIKWETE, halafu mgeni rasimi ni PINDA. CHADEMA wanahusika vipi sasa, jipange vizuri mama wewe
 
Ila nataka nikukumbushe kuwa waislam ndiyo wajuzi wa maswala ya maandamano, tena wakati mwingine hata kwa kesi ya kugombea maiti ya:msela:

Mwanza kwa Barlaw WAMEFYATA MKIA, na ishu za kudai msahafu kuchomwa
 
Mwenye akili timamu hili haliingii hata kidogo. Natamani nimiliki mitambo ya nyuklia halafu niende nayo pale central na ikulu. Huu ni upumbavu sana, mtu mzima unatoa matamshi yasiyoeleweka kwa wadai haki. Police wote ni mafisadi na ndiyo maana hawana maendeleo hata kidogo kwa kuwa akili zao ni finyu kupitiliza.
 
Ila nataka nikukumbushe kuwa waislam ndiyo wajuzi wa maswala ya maandamano, tena wakati mwingine hata kwa kesi ya kugombea maiti ya:msela:
Ukiona hivyo wanajua haki zao,haki ni haki hata kama unadai sindano yako iliyoibiwa na mwenzako even if inathamani ndogo kwako but kwako inaweza kuwa inathamani kuliko rupia,usibeze usichokijua ktk kudai haki na kwako unauwezo wa kuthaminisha kipi kidogo na kipi kikubwa,so wrong umeporwa unatakiwa kuidai no matter inathamani gani hiyo ni haki na usawa unaodaiwa kote duniani
 
Hao Al shabab wanachagua maandamano. Na ninafikiri wanawasiliana na POLICE aina ya maandamano na mikusanyiko ambayo wanaweza kuitumia kuleta madhara. Kumbe hawa jamaa ni wazuri hawavamii kila mikusanyiko. Sijui POLICE wamewasiliana nao kuhusu siku ya sherehe ya uhuru kama tukusanyike au la?
 
Tarehe 26/11/2011 ,Jeshi la polis Limeruhusu Maandamano ya Kuchangia Mradi wa Kutoa sumu na Chuo Cha Maadili Unao Ongozwa na askofu Gammanywa wa Wapo Radio uliopo Mtaa wa Loliondo Kurasini!!!Taarifa kutoka kituoa Cha Wapo Radio zinahamasisha Wananchi kuhudhuria Maandamano hayo ambayo yanalenga kuchangisha 500m. Mtangazaji amesisitiza watu wengi wahudhurie na kwamba mgeni rasimi atakuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye anafungua mradi huo baada ya Rais Jakaya Kikwete kutembelea Mda mfupi baada ya kusimikwa urais. Jambo la kushangaza Jeshi la polis limepinga marufuku maandamano ya Kupinga Mswaada jumamosi kwa sababu za Al shababu lakini wameruhusu maandamano kwa Askofu Gammanywa wa Loliondo
[h=2]Maandamano !!! Maandamano!!!!! Jumamosi 26/11/2011: Yana Kibali Cha Polisi![/h]
Wapo Mission international ya Jijin Dar ,Imeandaa Maandamano ya hisani yenye lengo la kuchangisha Tshs 500m, kwa ya kununua viwanjwa vya ujenzi wa Shule ya Maadili kwa Kizazi kipya.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa bodi wa MISSION hiyo Mhe Jaji Harold Nsekela wa Mahakama ya afrika , Mashariki , maandamano hayo ambayo Mgeni Rasimi ni waziri Mkuu Mizengo Pingo yatafanyika tarehe 26/11/2011!!! Maandamano hayo hayo ni ya zaidi ya 2km ambapo yataanzia eneo la Jogoo.

Awali mpango huu wa Maadili kwa kizazi kpya ambao unaenda sambamba na Tiba Lishe na Kutoa Sumu uliopo mtaa wa LOLIONDO kurasini ulizinduliwa na Rais Jakaya Kikwete tarehe 18/07/2011.

Mwenyekiti anawataka watu wote kuhudhuria na wale watakoa shindwa kuhudhuria wachangie kupitia CRDB 01j1013657901 na kwa Mawasiliano zaid piga simu 0787 582845.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom