Kosoa toa dukuduku lako elimisha jamii kupitia hapa

tabia inakera kupenda kila unachofanya uposti haswa wadada kweny status daily wako viwanja huwa tunawamute tu status ndefu kama 10 per day

kutaka michango wakati sherehe yako ya gharama ina kuhusu wewe labda mfano harusi
 
Tabia ya wanaume kujikuna dudu zenu kwa kuingiza mikono ndani ya suruali kabisa inakera sana. Nenda hata pembeni sio mbele za watu. Nashukuru corona imekuja hatushikani mikono siku hizi.
 
Makanisa yamezidi yamezidi jamani kila uchochoro ni kanisa. Mi ni mkristo but hii imezidi jamani watu wa mipango miji hebu fanyeni jambo wanaofungua haya makanisa wawe na vibali maalum na wawe wamesoma Theolojia na vyeti wanavyo. Fanyeni kama Kagame alivyofanya. Au watengeeni maeneo huko nje ya mji. Yani unakuta wakishafungua vipaza sauti hatusikilizani. Sidhani kama huu ni uhuru muafaka tunapita mipaka. Na naona watu wameishiwa mbinu za utafutaji pesa wameona njia rahisi ni kuanzisha makanisa na kuhubiri miujiza. Serikali liangalieni hili kwa jicho la karibu its too much.
 
Tabia ya wanaume kujikuna dudu zenu kwa kuingiza mikono ndani ya suruali kabisa inakera sana. Nenda hata pembeni sio mbele za watu. Nashukuru corona imekuja hatushikani mikono siku hizi.
unapenda kuchungulia hiyo mambo..uache sasa
 
Makanisa yamezidi yamezidi jamani kila uchochoro ni kanisa. Mi ni mkristo but hii imezidi jamani watu wa mipango miji hebu fanyeni jambo wanaofungua haya makanisa wawe na vibali maalum na wawe wamesoma Theolojia na vyeti wanavyo. Fanyeni kama Kagame alivyofanya. Au watengeeni maeneo huko nje ya mji. Yani unakuta wakishafungua vipaza sauti hatusikilizani. Sidhani kama huu ni uhuru muafaka tunapita mipaka. Na naona watu wameishiwa mbinu za utafutaji pesa wameona njia rahisi ni kuanzisha makanisa na kuhubiri miujiza. Serikali liangalieni hili kwa jicho la karibu its too much.
wengine huwa wanatafuta mazingira ya kuingiza pesa kwa njia ya kufungua makanisa.. mbona misikiti sioni mashekhe kufanya hivyo?
 
Makanisa yamezidi yamezidi jamani kila uchochoro ni kanisa. Mi ni mkristo but hii imezidi jamani watu wa mipango miji hebu fanyeni jambo wanaofungua haya makanisa wawe na vibali maalum na wawe wamesoma Theolojia na vyeti wanavyo. Fanyeni kama Kagame alivyofanya. Au watengeeni maeneo huko nje ya mji. Yani unakuta wakishafungua vipaza sauti hatusikilizani. Sidhani kama huu ni uhuru muafaka tunapita mipaka. Na naona watu wameishiwa mbinu za utafutaji pesa wameona njia rahisi ni kuanzisha makanisa na kuhubiri miujiza. Serikali liangalieni hili kwa jicho la karibu its too much.
Huku napoishi tumepakana na kanisa basi wao mazoezi tu huwa wanasubiria saa moja hivi au saa mbili wanafungulia fully music yani fujo kweli kweli tumeenda kwa mwenyekiti wa mtaa lakini wapi,tumeenda polisi lakini wapi na tumeripoti mamlaka husika lakini wapi,mpaka tunahisi kuna namna kwenye hili jambo ila bado hatujashindwa.
Mamlaka wao wanasubiria watu wafe wao waje kuchukua maiti sijui mana watu wana ghadhabu mioyoni mana mazoezi gani usiku tu na sio jioni?haya bhana ila nikiri kipindi kile walikua kimya kweli.
 
Vyuo vya ufundi vya veta vitoe maelezo sahihi kuhusu masomo yanayotolewa. Wanafunzi wengi wanajua kuwa wanakuja soma fani tu kumbe wanakutana na masomo ya ziada na wanabaki kushangaa.
 
bado nashindwa kuelewa humu JF hawa wanaoendesha hii ukurasa pindi unapotupia mada yako tu haipiti dkk wanaitoa na hawatoi sababu ya kuito na wakiitoa hujui wameipeleka wapi? haya tunayoyasema ni maoni na madukuduku yetu hivyo wacheni wanJF wasome wakosoe ukiifuta hujatenda haki.
 
Back
Top Bottom