Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
- Thread starter
- #301
Asante, mkuu.Pole sana mkuu, wewe nunua mwenyewe kama ni matunda, kwa nyanya apewe hela ya kununulia za siku 2 tu zisizidi hapo, kuwa makini na watoto asiwambukize hiyo tabia yake wafundishe watoto uwe nao karibu sana maana hapo utatengeneza kizazi cha ujinga