2025 ni Samia Suluhu wenye wivu mjinyonge.Asalaam Alyekum
Tumsifu Yesu Kristu.
Kwanza ni dicrear interest kuwa mimi ni muumini wa Falsafa ya alioinzisha Prof Lumumba ya #Magulification, Naam nikweli ukiniuliza Rais wangu bora kabisa hapa Tanzania nitaanza na John Joseph Magufuli.
Mwaka 2015 mara baada ya kushinda kuwa ndiye mgombea wa Chama cha Mapinduzi yalipendekezwa majina 2 ya wagombea wenza yaani CC ndiyo ilipitisha watu wawili ili Hayati John achague kati ya mmoja wao nani awe mgombea mwenza.
Majina hayo yalikuwa ni
1. Mh. Samia Suluhu Hassan
2. Mh. Husen Ally Mwinyi
JPM hatimae akamchagua Mh Samia kuwa mgombea mwenza na hili ndilo ambalo alilikosea licha ya kuwa namkubali lakini kwa huyu katuachia kidonda kwakweli, labda aliwaza Mwinyi aje kuwa Rais?
Sijui lakini kwa matukio yanayoendelea hapa nchini hata sijui 2025 ataenda kumuomba nani kura.