Kosa lile lile?......................why

Duh huu uzi wa huyu dada umekaa ki-technical ile mbaya.....watalaamu shusheni nondoz raia tuponee!
 
...unachakachua sasa thread yako, unaona sasa...anyway, cheer him up bana...

najiuliza leo klorokwini yupo kwenye SRM's ndani ya kiota cha maraha, mahaba na mapenzi lakini iweje yu mnyonge hivyo?
dahhhh, unaweza kuta mwenyewe alikamia ila kakuta ndio kwanza mwezi mchanga, mamsapu yumo kwenye funga! loh!!!

back to topik...!


Dah! hapa imebidi nicheke kwa laudi spika aisee. Shem nisamehe bana! najua ulinipa post 2 tu Dah! huyu Mbu nina was was nae ameanza kuchukua kozi ya ulawyer kinyemela. lool. Dah!

Back to topik
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hiyo ni misemo ya kuibiana tu shem bana kwa vile uganga hauna kithibitisho!
Hivi chemistry lab wanafunzi wanachanganya madawa chini ya uangalizi wa nani? Bila shaka mwalim tena mwenye uzoefu.
Nakumbuka kuna siku mwalim wetu alijifanya dalton akachanganya changanya kumbe hana uzoefu kuna kibaruti kikadata ndani ya test tube kikamlamba cha uso, hehe pua iliungua akaishia kupigwa kibuti na mchumbaake. Uzoefu muhimu shem.

Hahahahahahaha We Klorokwini haya siesta imekwisha haya turudi threadini shemeji yangu.

...unachakachua sasa thread yako, unaona sasa...anyway, cheer him up bana...
najiuliza leo klorokwini yupo kwenye SRM's ndani ya kiota cha maraha, mahaba na mapenzi lakini iweje yu mnyonge hivyo?
dahhhh, unaweza kuta mwenyewe alikamia ila kakuta ndio kwanza mwezi mchanga, mamsapu yumo kwenye funga! loh!!!
back to topik...!


Mbu unalo unalolitafuta we mwanaume! au ndo ushajiaminisha kuwa itoke isitoke talaka we waoa?! lol
 
hiyo ni misemo ya kuibiana tu shem bana kwa vile uganga hauna kithibitisho!
Hivi chemistry lab wanafunzi wanachanganya madawa chini ya uangalizi wa nani? Bila shaka mwalim tena mwenye uzoefu.
Nakumbuka kuna siku mwalim wetu alijifanya dalton akachanganya changanya kumbe hana uzoefu kuna kibaruti kikadata ndani ya test tube kikamlamba cha uso, hehe pua iliungua akaishia kupigwa kibuti na mchumbaake. Uzoefu muhimu shem.

...hahahahaaaa!...we are back on track,.....huyu ndio klorokwini ninayemjua hapa...
haya natuendelee kubadilishana maujuzi mwanajmiione asizidi kuogopa mapenzi, khaa...!

mwanajamiione na kipipi hebu tupeni upande wa pili wa shilingi, kwanini mnayaogopa mapenzi?
 
Duh huu uzi wa huyu dada umekaa ki-technical ile mbaya.....watalaamu shusheni nondoz raia tuponee!
Jamani Lebron hebu funguka bana, hata kama ndo unaprotect your investment si kihivyo bana ah!! hebu mwaga mauzoefu au mawazo!
 

...hahahahaaaa!...we are back on track,.....huyu ndio klorokwini ninayemjua hapa...
haya natuendelee kubadilishana maujuzi mwanajmiione asizidi kuogopa mapenzi, khaa...!
mwanajamiione na kipipi hebu tupeni upande wa pili wa shilingi, kwanini mnayaogopa mapenzi?

Ah Mbu ngoja mie nijijibie pengine nitapata msaada................... kusema ukweli through the two steady relationships ambazo nimezipitia ninajiona kabisa kuwa sikuumbiwa haya. Nilikuwa mara zote najilaumu kuwa tatizo liko kwangu na nilijikubalisha sana kuwa I was the one mwenye makosa (ingawa deep down niliamini kuwa nilichofanya ni uamuzi sahihi) but kulelewa kwa nilivyolelewa bado nilijihisi mkosa..... sasa ninakuwa more confused ninapoona the same men ambao nilijihisi nimewakosea, sifai kuwa wao ndio wanarudi kwa kishindo. Sasa najiuliza mengi kwa kweli, a zile what ifs kibao!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
heheh Mkuu moskwito kwa kusoma between the sentences bana! Likes za kipipi bana zimenifanya mpaka nimesahau paswedi yangu ya fesbuku.

Dah! acha turudi kwenye mada, MJ1 kanipa post 2 tu za kuchakachua

Hahahahaaaa! Santee........kwa kunifanya nitabasamu, endelea kubaki hapahapa jf ila likes zinakwenda likizo kwanza hela ya cafe imeisha.......lol.....!!!
 
Ah Mbu ngoja mie nijijibie pengine nitapata msaada................... kusema ukweli through the two steady relationships ambazo nimezipitia ninajiona kabisa kuwa sikuumbiwa haya. Nilikuwa mara zote najilaumu kuwa tatizo liko kwangu na nilijikubalisha sana kuwa I was the one mwenye makosa (ingawa deep down niliamini kuwa nilichofanya ni uamuzi sahihi) but kulelewa kwa nilivyolelewa bado nilijihisi mkosa..... sasa ninakuwa more confused ninapoona the same men ambao nilijihisi nimewakosea, sifai kuwa wao ndio wanarudi kwa kishindo. Sasa najiuliza mengi kwa kweli, a zile what ifs kibao!

To some extent ni kama umenijibia namie! Hehehe....mi sijawahi pitia vitu vya kuniumiza kwakweli. Labda niseme tu najilaumu kwa huu woga wangu niliopewa naturally, huwa najihisi tu kuumia nionapo/nisikiapo watu wanalalamika au kulia(kwa maumivu) kutokana na kutendwa au mambo kuwaendea kombo kwenye relationships/ndoa zao! Ni hayo tu jamani mweeeh!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ah Mbu ngoja mie nijijibie pengine nitapata msaada................... kusema ukweli through the two steady relationships ambazo nimezipitia ninajiona kabisa kuwa sikuumbiwa haya. Nilikuwa mara zote najilaumu kuwa tatizo liko kwangu na nilijikubalisha sana kuwa I was the one mwenye makosa (ingawa deep down niliamini kuwa nilichofanya ni uamuzi sahihi) but kulelewa kwa nilivyolelewa bado nilijihisi mkosa..... sasa ninakuwa more confused ninapoona the same men ambao nilijihisi nimewakosea, sifai kuwa wao ndio wanarudi kwa kishindo. Sasa najiuliza mengi kwa kweli, a zile what ifs kibao!

....dahhhh, lawyer yupo wapi hapa afanye cross examination maana naona mwj1 umejiuma uma sana humu na hizo past tense!
mwj1 nikuulize; iwapo uli-jikubalisha kosa/makosa yali-kuwa yako..., bado unaamini hivyo mpaka leo?
kwa heshima na taadhima kama alivyonifundisha wakili wangu, bwana klorokwini....jibu ni
ndio au hapana. (only the "truth and nothing but the truth will set you free!")
 
....dahhhh, lawyer yupo wapi hapa afanye cross examination maana naona mwj1 umejiuma uma sana humu na hizo past tense!
mwj1 nikuulize; iwapo uli-jikubalisha kosa/makosa yali-kuwa yako..., bado unaamini hivyo mpaka leo?
kwa heshima na taadhima kama alivyonifundisha wakili wangu, bwana klorokwini....jibu ni
ndio au hapana. (only the "truth and nothing but the truth will set you free!")
Dah hii kesi nloinunua hapa mh! naomba nile ugali wangu kwanza ntafunguka hah
 
jamani mi niko kijiweni,meza imejaa mihenken,mikuku,mivaluu,mibrandy ya bei mbaya,migin,yaani we acha tu,anyone intersted karibu tukae tudadavue uzi wa MJ1 maana bila stimu haupandi!
 

...hahahahaaaa!...we are back on track,.....huyu ndio klorokwini ninayemjua hapa...
haya natuendelee kubadilishana maujuzi mwanajmiione asizidi kuogopa mapenzi, khaa...!

mwanajamiione na kipipi hebu tupeni upande wa pili wa shilingi, kwanini mnayaogopa mapenzi?

hahahahaaa Mbu mi siogopi mapenzi bana ila soulmate wako ndo ananifanya nijifeel tofauti(kahuzuni flani vile)! Lol......siku yakinifika nami nitajilipua mweeh!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
MwanajamiiOne naogopa kukwambia kuwa sina jibu.

Matatizo mengi duniani hayana majibu ya 1+1=2 ndio maana hata ma prof wanachemka kwenye mapenzi (na wanapingana kwenye other academic issues)

Ila niliposema ukiwa very careful hutakuwa na mpenzi nilikuwa na maana kuwa inabidi wakati mwingine usiwaze na ku analyze sana; if you find someone attractive wewe jilipue tu kikubwa jiangalie wewe si yeye; kwa mfano:
a) je akinipa ujauzito akatimua am I ready and able to take care of the kid?
b) je kama ananidanganya am i prepared to move on without him? au nina moyo mwepesi bora nikae peke yangu kuliko kuwa hurt.

Hilo swali la pili ni baya kwani ndio la wale too analyitical.
Swali la kwanza liko poa.

In short wale wanao enjoy love life ni wale wasiofikiria saana future; tomorrow will take care of itself.

Nyumba kubwa hiki ulichokiweka hapa ninatamani ungekielezea zaidi kwani ninahisi jibu la swali langu liko humu! Please Dada Mkubwa, show me the way.
 
....dahhhh, lawyer yupo wapi hapa afanye cross examination maana naona mwj1 umejiuma uma sana humu na hizo past tense!
mwj1 nikuulize; iwapo uli-jikubalisha kosa/makosa yali-kuwa yako..., bado unaamini hivyo mpaka leo?
kwa heshima na taadhima kama alivyonifundisha wakili wangu, bwana klorokwini....jibu ni
ndio au hapana. (only the "truth and nothing but the truth will set you free!")

Haya Mbu nami nakujibu kama Lawyer wako alivyofundisha. Jibu ni HAPANA kwa sasa najiona nimeondokana na hiyo guilty consciousness.
 
hahahahaaa Mbu mi siogopi mapenzi bana ila soulmate wako ndo ananifanya nijifeel tofauti(kahuzuni flani vile)! Lol......siku yakinifika nami nitajilipua mweeh!!

Hapana kipipi Soulmate wa Mbu yuko gado, yaani hapa ametua moyo kabisaa so usipate presha!

MwanajamiiOne aliiuliza hili wakati akitathmini maisha yake ya kimapenzi huko nyuma. Kwa nini alikuwa ana-make the same mistake!
 
Back
Top Bottom