LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,504
Duh huu uzi wa huyu dada umekaa ki-technical ile mbaya.....watalaamu shusheni nondoz raia tuponee!
...unachakachua sasa thread yako, unaona sasa...anyway, cheer him up bana...
najiuliza leo klorokwini yupo kwenye SRM's ndani ya kiota cha maraha, mahaba na mapenzi lakini iweje yu mnyonge hivyo?
dahhhh, unaweza kuta mwenyewe alikamia ila kakuta ndio kwanza mwezi mchanga, mamsapu yumo kwenye funga! loh!!!
back to topik...!
hiyo ni misemo ya kuibiana tu shem bana kwa vile uganga hauna kithibitisho!
Hivi chemistry lab wanafunzi wanachanganya madawa chini ya uangalizi wa nani? Bila shaka mwalim tena mwenye uzoefu.
Nakumbuka kuna siku mwalim wetu alijifanya dalton akachanganya changanya kumbe hana uzoefu kuna kibaruti kikadata ndani ya test tube kikamlamba cha uso, hehe pua iliungua akaishia kupigwa kibuti na mchumbaake. Uzoefu muhimu shem.
...unachakachua sasa thread yako, unaona sasa...anyway, cheer him up bana...
najiuliza leo klorokwini yupo kwenye SRM's ndani ya kiota cha maraha, mahaba na mapenzi lakini iweje yu mnyonge hivyo?
dahhhh, unaweza kuta mwenyewe alikamia ila kakuta ndio kwanza mwezi mchanga, mamsapu yumo kwenye funga! loh!!!
back to topik...!
hiyo ni misemo ya kuibiana tu shem bana kwa vile uganga hauna kithibitisho!
Hivi chemistry lab wanafunzi wanachanganya madawa chini ya uangalizi wa nani? Bila shaka mwalim tena mwenye uzoefu.
Nakumbuka kuna siku mwalim wetu alijifanya dalton akachanganya changanya kumbe hana uzoefu kuna kibaruti kikadata ndani ya test tube kikamlamba cha uso, hehe pua iliungua akaishia kupigwa kibuti na mchumbaake. Uzoefu muhimu shem.
Jamani Lebron hebu funguka bana, hata kama ndo unaprotect your investment si kihivyo bana ah!! hebu mwaga mauzoefu au mawazo!Duh huu uzi wa huyu dada umekaa ki-technical ile mbaya.....watalaamu shusheni nondoz raia tuponee!
...hahahahaaaa!...we are back on track,.....huyu ndio klorokwini ninayemjua hapa...
haya natuendelee kubadilishana maujuzi mwanajmiione asizidi kuogopa mapenzi, khaa...!
mwanajamiione na kipipi hebu tupeni upande wa pili wa shilingi, kwanini mnayaogopa mapenzi?
heheh Mkuu moskwito kwa kusoma between the sentences bana! Likes za kipipi bana zimenifanya mpaka nimesahau paswedi yangu ya fesbuku.
Dah! acha turudi kwenye mada, MJ1 kanipa post 2 tu za kuchakachua
Humu nawapongeza kwa mjadala mzuri!
Ah Mbu ngoja mie nijijibie pengine nitapata msaada................... kusema ukweli through the two steady relationships ambazo nimezipitia ninajiona kabisa kuwa sikuumbiwa haya. Nilikuwa mara zote najilaumu kuwa tatizo liko kwangu na nilijikubalisha sana kuwa I was the one mwenye makosa (ingawa deep down niliamini kuwa nilichofanya ni uamuzi sahihi) but kulelewa kwa nilivyolelewa bado nilijihisi mkosa..... sasa ninakuwa more confused ninapoona the same men ambao nilijihisi nimewakosea, sifai kuwa wao ndio wanarudi kwa kishindo. Sasa najiuliza mengi kwa kweli, a zile what ifs kibao!
Ah Mbu ngoja mie nijijibie pengine nitapata msaada................... kusema ukweli through the two steady relationships ambazo nimezipitia ninajiona kabisa kuwa sikuumbiwa haya. Nilikuwa mara zote najilaumu kuwa tatizo liko kwangu na nilijikubalisha sana kuwa I was the one mwenye makosa (ingawa deep down niliamini kuwa nilichofanya ni uamuzi sahihi) but kulelewa kwa nilivyolelewa bado nilijihisi mkosa..... sasa ninakuwa more confused ninapoona the same men ambao nilijihisi nimewakosea, sifai kuwa wao ndio wanarudi kwa kishindo. Sasa najiuliza mengi kwa kweli, a zile what ifs kibao!
Dah hii kesi nloinunua hapa mh! naomba nile ugali wangu kwanza ntafunguka hah....dahhhh, lawyer yupo wapi hapa afanye cross examination maana naona mwj1 umejiuma uma sana humu na hizo past tense!
mwj1 nikuulize; iwapo uli-jikubalisha kosa/makosa yali-kuwa yako..., bado unaamini hivyo mpaka leo?
kwa heshima na taadhima kama alivyonifundisha wakili wangu, bwana klorokwini....jibu ni ndio au hapana. (only the "truth and nothing but the truth will set you free!")
Mi nakupongeza we Eiyer pia, mchango wako nimeupenda!!
Dah hii kesi nloinunua hapa mh! naomba nile ugali wangu kwanza ntafunguka hah
...hahahahaaaa!...we are back on track,.....huyu ndio klorokwini ninayemjua hapa...
haya natuendelee kubadilishana maujuzi mwanajmiione asizidi kuogopa mapenzi, khaa...!
mwanajamiione na kipipi hebu tupeni upande wa pili wa shilingi, kwanini mnayaogopa mapenzi?
Nyumba kubwa hiki ulichokiweka hapa ninatamani ungekielezea zaidi kwani ninahisi jibu la swali langu liko humu! Please Dada Mkubwa, show me the way.
....dahhhh, lawyer yupo wapi hapa afanye cross examination maana naona mwj1 umejiuma uma sana humu na hizo past tense!
mwj1 nikuulize; iwapo uli-jikubalisha kosa/makosa yali-kuwa yako..., bado unaamini hivyo mpaka leo?
kwa heshima na taadhima kama alivyonifundisha wakili wangu, bwana klorokwini....jibu ni ndio au hapana. (only the "truth and nothing but the truth will set you free!")
hahahahaaa Mbu mi siogopi mapenzi bana ila soulmate wako ndo ananifanya nijifeel tofauti(kahuzuni flani vile)! Lol......siku yakinifika nami nitajilipua mweeh!!
jamani mi niko kijiweni,meza imejaa mihenken,mikuku,mivaluu,mibrandy ya bei mbaya,migin,yaani we acha tu,anyone intersted karibu tukae tudadavue uzi wa MJ1 maana bila stimu haupandi!