Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Weye muandishi, ktk mahojiano yako labda hukumuelewa Lissu. Lissu hajakosa msaada wa matibabu yake, amesaidiwa na watu wengi hata bunge lenyewe kupitia michango ya wabunge. Alichokosa na anachodsi Lissu ni sitahiki zake za kisheria za posho na Matibabu.
Na binafsi siwezi kumlaumu Lissu, wakati makosa ya kisheria juu ya taratibu za matumizi ya fedha za umma yanafanywa na Mwenyekiti na wake akishinikiza ndugu zake wasikubaliane na maelekezo ya serikali, yeye alikuwa hoi hakuwa na uwezo wa kuelewa nini kinaendelea. Na ndugai hawezi kutengua taratibu hizo, wenye uwezo wa kubadili sheria na kanuni ni bunge kwa kufanya marekebisho ya sheria.
Asilie na Serikali aliye na Mbowe ambaye alijigamba kupokea ushauri wa serikali ila kwa issue ya Lissu serikali iwasamehe watalishughulikia wao wenyewe na hata kutafuta ndege yao wakikana iliyoletwa na bunge. Bahati nzuri clip zipo zenye ushahidi wa mabishano ya Ndugai na Mbowe.
Ukitaka kujua ugumu wa hili, hata kaka yake aliyeahidi kufungua kwsi kudai haki hii, hadi leo hajafanya hivyo. Labda anasubiri Lissu arejee na kama ana haki yake atalipwa tu.
Na binafsi siwezi kumlaumu Lissu, wakati makosa ya kisheria juu ya taratibu za matumizi ya fedha za umma yanafanywa na Mwenyekiti na wake akishinikiza ndugu zake wasikubaliane na maelekezo ya serikali, yeye alikuwa hoi hakuwa na uwezo wa kuelewa nini kinaendelea. Na ndugai hawezi kutengua taratibu hizo, wenye uwezo wa kubadili sheria na kanuni ni bunge kwa kufanya marekebisho ya sheria.
Asilie na Serikali aliye na Mbowe ambaye alijigamba kupokea ushauri wa serikali ila kwa issue ya Lissu serikali iwasamehe watalishughulikia wao wenyewe na hata kutafuta ndege yao wakikana iliyoletwa na bunge. Bahati nzuri clip zipo zenye ushahidi wa mabishano ya Ndugai na Mbowe.
Ukitaka kujua ugumu wa hili, hata kaka yake aliyeahidi kufungua kwsi kudai haki hii, hadi leo hajafanya hivyo. Labda anasubiri Lissu arejee na kama ana haki yake atalipwa tu.