Elections 2010 Kosa la NEC, adhabu kwa wapiga kura

QUALITY

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
853
115
Jana nilikuwa katika vituo kadhaa. Mfano mtu amekuwa anapiga kura kituo cha Mwalimu Nyerere (kata ya Ndugumbi) tangu mwaka 2005. mwaka huu anaambiwa jina lako halipo! anakosa haki yake ya kupiga kura. Na hapo anayeumia ni mpiga kura aliyeharibu muda wake kumbe NEC ndo wamekosea. hata kama ana kadi, hakuruhusiwa kupiga kura. je hiyo ni haki?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom