QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Jana nilikuwa katika vituo kadhaa. Mfano mtu amekuwa anapiga kura kituo cha Mwalimu Nyerere (kata ya Ndugumbi) tangu mwaka 2005. mwaka huu anaambiwa jina lako halipo! anakosa haki yake ya kupiga kura. Na hapo anayeumia ni mpiga kura aliyeharibu muda wake kumbe NEC ndo wamekosea. hata kama ana kadi, hakuruhusiwa kupiga kura. je hiyo ni haki?