BIDYABALAVYE
Senior Member
- Aug 3, 2013
- 100
- 14
Bila shaka PM atakua ameonekana hana hatia na kiukweli roho ilikua inaniuma kuondolewa kwake,ila sasa abadilike katika utendaji wake.
Acha zako wewe unayeongozwa na akili za mama yako
Bila shaka PM atakua ameonekana hana hatia na kiukweli roho ilikua inaniuma kuondolewa kwake,ila sasa abadilike katika utendaji wake.
Je unaelewa kwanini Pinda aliteuliwa kuwa WM?
Tatizo la nchi hii ni Rais na wala siyo mawaziri. Tanzania mwaka wa 8 huu unaisha bila kuwa na Rais. Ila tunastahili pongezi kwa kuweza kukaa miaka mingi hii bila Rais na still tunadunda tu
kama ni suala la political responsibility Pinda naye ilibidi ajiuzuru. Mbona Kagasheki hajahusika moja kwa moja na amejiuzuru?
Nani wanafaa sasa!
Tatizo la nchi hii ni Rais na wala siyo mawaziri. Tanzania mwaka wa 8 huu unaisha bila kuwa na Rais. Ila tunastahili pongezi kwa kuweza kukaa miaka mingi hii bila Rais na still tunadunda tu
Hivi kosa la Lowassa na la Pinda lipi ni kubwa?
Kama Lowassa aliwajibika kwa makosa ya walio chini yake,ni kwanini Pinda analindwa?
Hivi kashifa ya Richmond na hii ya mauji,utesaji na udhalilishaji wa raia ni ipi liyo mbaya zaidi?
Hivi inatosha tu kuwawajibisha mawaziri bila waziri mkuu?
Je,huyu Raisi wetu ni mtu seriuos kweli na matatizo ya nchi hii?
Wadau,hapa si bure bali kuna jambo!
Hii ni kauli iliyotolewa leo bungeni moja kwa moja na mmoja wa Wabunge waliochangia mjadala wa leo kuhusu janga la oparesheni tokomeza!..... najaribu kushangaa na pia najikuta nashangaa zaidi ya kushangaa kumuona mh. Waziri mkuu pamoja na "MATUSI"yooooote ambayo amekuwa akitukanwa live na kauli za dhihaka na kebehi anazotolewa kila leo, kwanini anakuwa mgumu kuwajibika? ipi ni sababu ya msingi inayomfanya asiwajibike? CCM CCM CCM, Mshaurini huyu mtu apumzike kujilindia hadhi yake japo kwa mkewe!!
Ufugaji wa ranchi ndio unaotakiwa sio watu wanageuza nchi nzima eneo lao la kuchunga mifugo na kuwadhulumu wakulima haki yao.Hiyo ranchi kaikamata leo! hao wafugaji wameharibu walikokuwa ndio maana wanahangaika now, pia sio kila penye majani basi ngombe wakae acha chuki binafsi
Hivi kosa la Lowassa na la Pinda lipi ni kubwa?
Kama Lowassa aliwajibika kwa makosa ya walio chini yake,ni kwanini Pinda analindwa?
Hivi kashifa ya Richmond na hii ya mauji,utesaji na udhalilishaji wa raia ni ipi liyo mbaya zaidi?
Hivi inatosha tu kuwawajibisha mawaziri bila waziri mkuu?
Je,huyu Raisi wetu ni mtu seriuos kweli na matatizo ya nchi hii?
Wadau,hapa si bure bali kuna jambo!
yaaa pinda hakuwa na zengwe na mtu yeyote ila kagasheki ndiyo alikuwa kawakalia watu vibaya , vile vile lowasa naye alipigwa zengwe sana na sitta na ndiyo maana akachomoka mapema .mheshimiwa pinda mkakati wa kutochomoka ulishasetiwa mapema na wabunge wa CCM , na wao wakaahidi basi mawaziri watoke kama mnataka kumnusuru waziri mkuu , na ndiyo maana sikuona sababu ya makinda kuumwakia machali wakati anaongea huku anataka kugawa form za kumkataa waziri mkuu , makinda alikuja juu wakati alitakiwa amuache tu amalize muda wake na kama form angezigawa tu, kwa utaratibu anaoujua machali, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unaharibika spika anna makinda akuchelea kujionyesha uhalisia wake kwa pindaEl amekamata ranchi ekari 9000 tanga, wafugaji wanahangaika kutafuta malisho? Pinda amekamata ranchi wapi? You can't compare the two
labda hujuhi lakini naamini unajua ila unajifanya umesahahu,
1. Issue ya RICHMOND alisimamia yeye kama waziri mkuu akishirikiana na IKULU na kama utakumbuka ilisemwa ilikuwa Raisi aende sema Mwakyembe walificha ficha wakaamua Lowassa ajitoe kafara.
2. Hili la sasa lilisimamiwa na wizara zenyewe na halijawahi kuwa chini ya waziri Mkuu.
So kama alivyosema Mwanasheria mkuu KILA MTU NA LWAKE.