Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Hivi kosa la Lowassa na la Pinda lipi ni kubwa?
Kama Lowassa aliwajibika kwa makosa ya walio chini yake,ni kwanini Pinda analindwa?
Hivi kashifa ya Richmond na hii ya mauji,utesaji na udhalilishaji wa raia ni ipi liyo mbaya zaidi?
Hivi inatosha tu kuwawajibisha mawaziri bila waziri mkuu?
Je,huyu Raisi wetu ni mtu seriuos kweli na matatizo ya nchi hii?
Wadau,hapa si bure bali kuna jambo!
Kama Lowassa aliwajibika kwa makosa ya walio chini yake,ni kwanini Pinda analindwa?
Hivi kashifa ya Richmond na hii ya mauji,utesaji na udhalilishaji wa raia ni ipi liyo mbaya zaidi?
Hivi inatosha tu kuwawajibisha mawaziri bila waziri mkuu?
Je,huyu Raisi wetu ni mtu seriuos kweli na matatizo ya nchi hii?
Wadau,hapa si bure bali kuna jambo!