Yesu alipokuwa akipita zake alikuta watu wakilia na kuomboleza, Yesu akawaambia kwanini mnalia? Wakamjibu binti yetu kafariki; Yesu akawajibu msilie; Binti yenu yu Hai amelala tu; akamwamuru binti ainuke; Binti akaamuka! Ukitafakari sana juu ya kumlilia marehemu ni sawa na kujisumbua bure, haisaidii chochote kwa Mungu.
Kumlilia marehemu ni zaidi ya kumkosoa Mungu! Mungu ndiye aliyeamua kuleta kiumbe duniani; na ndiye anayekitoa: Inatupasa tufike mahali kama mtoto akizaliwa tunasherekea, vivyo hivyo mtu anapofariki yatupasa kusherekea; Ifike wakati uendapo Msibani sema unaenda kwenye sherehe ya kuhifadhi mwili wa fulani.
Bibilia inasisitiza kushukuru. "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO" Tunakumbuka kushukuru pekee tunapozaa, ila ndugu yetu anapotutoka hatushukuru.
NINAIMANI ENDAPO TUKIACHA KULIA NA KUSONONEKA MSIBANI; Mungu atagundua ukomavu wa imani zetu:
Huenda ndiyo siri ya kifo ilipo jificha ni hapo kwenye kilio; unapolia maanake na wewe unahesabiwa KIFO! Hadi hapo kizazi hiki kinacholia kitakapo koma.
"KAZI YA BWANA HAINA MAKOSA " Tuishi Kwa kutendea haki kauli mbiu hiyo.
NOTE; KWA WASIYO AMINI UWEPO WA MUNGU; Jadilini huu uzi kwa kuamini Mungu yupo. (discuss Assuming God is present)
KARIBUNI
Kumlilia marehemu ni zaidi ya kumkosoa Mungu! Mungu ndiye aliyeamua kuleta kiumbe duniani; na ndiye anayekitoa: Inatupasa tufike mahali kama mtoto akizaliwa tunasherekea, vivyo hivyo mtu anapofariki yatupasa kusherekea; Ifike wakati uendapo Msibani sema unaenda kwenye sherehe ya kuhifadhi mwili wa fulani.
Bibilia inasisitiza kushukuru. "SHUKURUNI KWA KILA JAMBO" Tunakumbuka kushukuru pekee tunapozaa, ila ndugu yetu anapotutoka hatushukuru.
NINAIMANI ENDAPO TUKIACHA KULIA NA KUSONONEKA MSIBANI; Mungu atagundua ukomavu wa imani zetu:
Huenda ndiyo siri ya kifo ilipo jificha ni hapo kwenye kilio; unapolia maanake na wewe unahesabiwa KIFO! Hadi hapo kizazi hiki kinacholia kitakapo koma.
"KAZI YA BWANA HAINA MAKOSA " Tuishi Kwa kutendea haki kauli mbiu hiyo.
NOTE; KWA WASIYO AMINI UWEPO WA MUNGU; Jadilini huu uzi kwa kuamini Mungu yupo. (discuss Assuming God is present)
KARIBUNI