barnabas masoko
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,296
- 654
Jamaa mbona hakuna hoja ya msingi hapa aisee
Kwani yule aliyesema '...uchaguzi ukiwa guru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi nchi ni CHADEMA? Yule aliyesema CCM imejaa majizi ni CHADEMA? Hata Kinana na Nape nao walikua wanachadema?Kushabikia upinzani huu ni sawa na kuonekana ni mvuta bangi tu,na ni kweli kabisa chadema na wafuasi wake ni wavuta bangi,jinsi wanavyoongea na wafuasi wanavyoshabikia bila kukumbuka waliwahi kusema nini huko nyuma,hili ni kundi la wahuni kama mahuni mengine tu yanayo kula unga,hayasemi yatatufanyia nini wananchi kazi ni jaziba tu juu ya Rais na matusi kuonyesha wazi wana mawivu makubwa ya kushika mamlaka ili yakachume pesa na si kushughulika na masuala ya wananchi,mavuta bangi wahaini wa nchi haya
Kushabikia upinzani huu ni sawa na kuonekana ni mvuta bangi tu,na ni kweli kabisa chadema na wafuasi wake ni wavuta bangi,jinsi wanavyoongea na wafuasi wanavyoshabikia bila kukumbuka waliwahi kusema nini huko nyuma,hili ni kundi la wahuni kama mahuni mengine tu yanayo kula unga,hayasemi yatatufanyia nini wananchi kazi ni jaziba tu juu ya Rais na matusi kuonyesha wazi wana mawivu makubwa ya kushika mamlaka ili yakachume pesa na si kushughulika na masuala ya wananchi,mavuta bangi wahaini wa nchi haya
Lissu hajitambui
Musiba punguza jazbaKushabikia upinzani huu ni sawa na kuonekana ni mvuta bangi tu,na ni kweli kabisa chadema na wafuasi wake ni wavuta bangi,jinsi wanavyoongea na wafuasi wanavyoshabikia bila kukumbuka waliwahi kusema nini huko nyuma,hili ni kundi la wahuni kama mahuni mengine tu yanayo kula unga,hayasemi yatatufanyia nini wananchi kazi ni jaziba tu juu ya Rais na matusi kuonyesha wazi wana mawivu makubwa ya kushika mamlaka ili yakachume pesa na si kushughulika na masuala ya wananchi,mavuta bangi wahaini wa nchi haya
PointKama nakuelewa Kwa mbaali!! Ila huyu kazidi mno aisee kukebehi hata vitu vyetu ambavyo tunaviheshemu ingawa havikuwahi kutungiwa Sheria namna gani ya kuviheshimu
Yaani, Watanzania wote wa enzi na enzi hata Leo tukiwa tunautumia wimbo wetu nje na ndani ya nchi yetu kufanyiwa dhihaka kiasi hiki ni kuwadharau Watanzania wote waliowahi na wanaendelea kuheshimu wimbo wetu
Hili Ni kosa kubwa Sana JPM alifanya.Tambiko la kitaifa la mwenge wa uhuru limebuma baada ya kukiukwa kwa masharti ya kushirikina, sasa badala ya mwenge kuangaza nje ya mipaka ya nchi yetu, sasa inaangaza ndani ya akili za Watanzania, na ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Alafu wanatapatapa,kwa chama kilichokufa,CCM wamekosa hata watu wenye akili timamu,kina polepole na Tid ndiyo wamekuwa watetezi.Ccm tulieni sindano iwaingie.
Mlifanya siasa mda wote wapinzani mkiwafungia,saa hizi mtuachie nafasi.
Kwani yule aliyesema '...uchaguzi ukiwa guru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi nchi ni CHADEMA? Yule aliyesema CCM imejaa majizi ni CHADEMA? Hata Kinana na Nape nao walikua wanachadema?
Tusipoteze kumbukumbu haraka. Kama mnajua mmefanya maendeleo kama vile kununua ndege, SGR, Nyerere dam, fly over, ufisadi kuisha, uchumi kukua na kuimarika, nk mna wasiwasi gani tena? Najua wananchi wanajua aliyofanya Rais na huyo Lissu hana cha kuzungumza lakini mbn ni kama mnamuhofia?
Mhaini mama yaco aisee usitufokeeKushabikia upinzani huu ni sawa na kuonekana ni mvuta bangi tu,na ni kweli kabisa chadema na wafuasi wake ni wavuta bangi,jinsi wanavyoongea na wafuasi wanavyoshabikia bila kukumbuka waliwahi kusema nini huko nyuma,hili ni kundi la wahuni kama mahuni mengine tu yanayo kula unga,hayasemi yatatufanyia nini wananchi kazi ni jaziba tu juu ya Rais na matusi kuonyesha wazi wana mawivu makubwa ya kushika mamlaka ili yakachume pesa na si kushughulika na masuala ya wananchi,mavuta bangi wahaini wa nchi haya
Bro nimekuchek..relaxNaomba nicheki ...sikupati
🤣🤣🤣🤣Umeponaaaa😆😆😆😆hii handwriting sio ya magonjwa🤣🤣🤣 nimechekaaaMhai
Mhaini mama yaco aisee usitufokee
Mkuu bado ila huyo msukule kaniudhi !🤣🤣🤣🤣Umeponaaaa😆😆😆😆hii handwriting sio ya magonjwa🤣🤣🤣 nimechekaaa
Mimi pia aliniboa sanaMkuu bado ila huyo msukule kaniudhi !
Akili ndogo hii!1. Kitendo cha mgombea wenu kujihakikishia kuwa ameshinda hata kabla ya kampeni na matokeo ya uchaguzi yatakapotolewa asitangazwe mshindi, kuwahamasisha wananchi waingie mtaani kuleta fujo, hakika wewe huna sifa ya kuwa rais jitoe tuu kabla ya kampeni, waeleze hao mabeberu uliowahakikishia kuwa iwe jua iwe mvua matokeo yakupe ushindi, my brother apo waeleze hiyo mbinu umeshindwa na haitofanyika kama ulivyo waahidi hao mabeberu wako. TAMAA MBAYA, UWEZO WA KIUONGOZI NA KALAMA ZAKE HAUNA, pole
2. Kitendo cha kufanyia remix wimbo wa Taifa kwa kujitaja wanachama wa chadema mungu awabariki, huo ni ubaguzi wa wananchi tena wa waziwazi kwa watu wasiokuwa na chama na wenye vyama tofauti ya chadema. Hii inamaanisha mnataka kuanzisha nchi nyingine ndani ya JMT kwa kuwa na hati miliki ya wimbo wenu. Kwa kitendo hicho hakikubaliki kwa umma wa Tanzania wanaoipenda amani ya nchi yetu.
3. Poleni sana kwa kuwa mumeahidiwa mambo makubwa na hao mabeberu ambao mnataka tukiwapa nchi muweze kutubadilishia sheria za inchi yetu zitambue ushoga kama ni ndoa halali za utamaduni wa kitanzania, na huku ukijua wazi kuwa ndoa ya jinsia moja ni dhambi kwa mwenyezi mungu, maana nani atatumia papuchi ambazo kila siku na kila wakati wanazaliwa.
hawa hapa hao 500 😂 😂 😂 😂
Kushabikia upinzani huu ni sawa na kuonekana ni mvuta bangi tu,na ni kweli kabisa chadema na wafuasi wake ni wavuta bangi,jinsi wanavyoongea na wafuasi wanavyoshabikia bila kukumbuka waliwahi kusema nini huko nyuma,hili ni kundi la wahuni kama mahuni mengine tu yanayo kula unga,hayasemi yatatufanyia nini wananchi kazi ni jaziba tu juu ya Rais na matusi kuonyesha wazi wana mawivu makubwa ya kushika mamlaka ili yakachume pesa na si kushughulika na masuala ya wananchi,mavuta bangi wahaini wa nchi haya
Ni utaahira mkubwa sana kuishabikia CCMKushabikia upinzani huu ni sawa na kuonekana ni mvuta bangi tu,na ni kweli kabisa chadema na wafuasi wake ni wavuta bangi,jinsi wanavyoongea na wafuasi wanavyoshabikia bila kukumbuka waliwahi kusema nini huko nyuma,hili ni kundi la wahuni kama mahuni mengine tu yanayo kula unga,hayasemi yatatufanyia nini wananchi kazi ni jaziba tu juu ya Rais na matusi kuonyesha wazi wana mawivu makubwa ya kushika mamlaka ili yakachume pesa na si kushughulika na masuala ya wananchi,mavuta bangi wahaini wa nchi haya